Recent content by TanzaniaHuru

  1. TanzaniaHuru

    Magufuli akerwa na wingi wa vizuizi barabarani

    Kuanzia sasa vituo vya ukaguzi kuanzia Dar mpaka mpakani mwa Rwanda vitakuwa vitatu tu. Mpango wa kujenga Reli kutokea Tanzania kwenda Rwanda na kwenda Burundi uko pale pale na tayari kampuni 13 zimeshajitokeza kuanza kazi. Awataka wafanya biashara wa Rwanda kuacha kupitisha mizigo yao Kenya na...
  2. TanzaniaHuru

    Matatizo yaliyopo kwenye vyuo vya Tanzania

    Hili ni jipu.... asee Si kwa kupeleka mtoto Uko...
  3. TanzaniaHuru

    Natafuta mume

    Hoping you are married by now...
  4. TanzaniaHuru

    Matatizo yaliyopo kwenye vyuo vya Tanzania

    Jamani hivi vyuo vya afya hapa Tanzania hasa ngazi ya Certificate na Diploma mbona vinaongozwa kilocal sana. Unakuta wakuu wa vyuo na Drs ambao wanafundisha wamekua mungu watu. Mbaya zaidi wanaleta shida zao za binafsi na kuziingiza kwenye masomo ya wanafunzi. Nimepokea malalamiko kadha wa...
Back
Top Bottom