Tanzania,acha Tu,ili basi lipate abiria unamtegemea mpigadebe,sasa kupata mizigo dijui utaomba kuupata kutoka kwa nani? Wenye mabasi tunawaonea huruma Sana,Dar Jana nimemlipa mpigadebeTsh 28,000 ya tiketi ya kuja arusha,kwa macho yangu ninamuoma anampelekea conductor Tsh 18,000 .mpigadebe pale...
Niliwahi kusafiri maeneo mengi ila Babati kuna kero kubwa sana inayoletwa na wapiga debe ktk stendi ya mabasi ya nje ya mkoa.
Kulangua nauli, kuvutavuta abiria, wizi na upotevu wa mizigo. Je stand hii Mkurugenzi wa mji wa Babati anaifahamu? Je anajua kero na shida wananchi wanayoipata...
Huku arusha stand ya mabasi, wache ru,wala traffic hawajuwagi Kuna cha pccb wala cha nani ,Ni kuomba rushwa mtindo mmoja.trafic huku kupangiwa point ya stand ya mabasi Ni deal.Hivini lazima traffic wakae stand za mabasi?mbona abiria akiibiwa pesa,au mizigo, au abiria akilanguliwa nauli mbona...
Afisa
utumie
Maafisautumishi Ni kero,mwingine Yuko moshi manispaa,Ni shidaaaaaa,kila siku anatutukana sisi walimu, tunaomba kwenye CV yake aweke hapa. Kuna shida imejitokeza mtu alikuwa mwalimu anakwenda Chuo anasomea HR,akirudi anapewa uafisautumishi, imekuwa Ni kero,kero kero.
hii kitu...
Du,nilidhani Ni Kilimanjaro Tu tunafanyiwa hivyo,lipo duka liki pale opposite na ofisi za tanesco mkoanikilimanjaro,moshi mjini.wahisika wafuatilie bei za dawa pale,ziko juu sana
mchana huko stand za mabasi askari wanashirikiana na wapigadebe, kukusanya mahela ,na kuombachochote kwenye mabasi.ikiwezekana mgambo WA jiji ma manispaa wawe stand za mabasi, wakati wawe kwenye check point zao huko barabarani .pccb kaeni maeneo ya stand mtajifunza mengi, na mtapna mengi...
Hii imeti
Hii imekaa sasa na imetulia,ndani ya halmashauri unamkuta mkuu WA idara ya elimu (afisaelimu) analipwa 3 milion plus wakati huo huo amelingana kielimu,kiujuzi na mwalimu ansyefundisha shuleni ndani ya halmashauri hiyo hiyo mwalimu analipwa 1,200,000 basic salary. Kali na kali zaidi...
Mh, waziri, stand zote za mabasi ya mikoani ziko chini ya Tamisemi,swali serikali ilizijenga na kuxibinafshia wapigadebe na maagent WA mabasi? Ninauliza kwa sababu serikali haipewi mrahaba na hao wapigadebe Bali wapigadebe wanachukua fedha zote wanazokusanya na kupeleka makao,ili halo stand...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.