Tanzania1973
Member
- Oct 15, 2017
- 11
- 3
Niliwahi kusafiri maeneo mengi ila Babati kuna kero kubwa sana inayoletwa na wapiga debe ktk stendi ya mabasi ya nje ya mkoa.
Kulangua nauli, kuvutavuta abiria, wizi na upotevu wa mizigo. Je stand hii Mkurugenzi wa mji wa Babati anaifahamu? Je anajua kero na shida wananchi wanayoipata?
Tunaomba utusaidie sisi abiria. Cha kushangaza polisi wako hapo hapo ila hakuna kinachofanyika.
Pia getini pale askari tunawauliza, pana biashara gani pale?
Kulangua nauli, kuvutavuta abiria, wizi na upotevu wa mizigo. Je stand hii Mkurugenzi wa mji wa Babati anaifahamu? Je anajua kero na shida wananchi wanayoipata?
Tunaomba utusaidie sisi abiria. Cha kushangaza polisi wako hapo hapo ila hakuna kinachofanyika.
Pia getini pale askari tunawauliza, pana biashara gani pale?