Recent content by Tanzania kama ulaya

  1. Tanzania kama ulaya

    Tanzania vs Algeria (Septemba 14, 2015): Mechi ya kufuzu Kombe la Dunia Urusi - 2018

    Kilichotokea uwanja wa taifa ndiyo uhalisia wa watanzania hakuna tunachoweza chini ya haki. Watanzania tumezoea magumashi sana, ingekuwa baada ya mechi kuna kuhesabu kura...:D:D:D:D:
  2. Tanzania kama ulaya

    Naomba kufahamu kluger v.

    Niaje wataalamu. Kama mtu anauelewa kuhusu tank la kluger v linajaza lita ngapi? na cc zake.
  3. Tanzania kama ulaya

    Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

    Jana aliteua makatibu wakuu, usishangae kesho akateaua wakuu wa wilaya
  4. Tanzania kama ulaya

    Kipanya kanichana mbavu zangu usiku huu kwa katuni zake. Check hii hapa

    Jamani Hasheem Rungwe anachukuliwa poa
  5. Tanzania kama ulaya

    Kardinali Pengo amkemea Lowassa

    Huyo naye ni nyoko tu
  6. Tanzania kama ulaya

    Mbowe na CHADEMA yako sijaona jipya lililonikuna mwaka huu hupati kura yangu

    Njoo ulione la kukukuna ninalo me hapa ntakusugua mpaka ukiri yesu ni bwana
  7. Tanzania kama ulaya

    Hivi watu wa Kigamboni wanaweza kurubunika kirahisi namna hiyo?

    Watu wa mjimwema wataenda kuvuka kurasini?
  8. Tanzania kama ulaya

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Kuna huyu mtu anaitwa Magufuli. Kha!! Mahubiri yake yapo kimiujiza ujiza sn. Hakumbuki sijui kama kuna ilani ya chama. Safi sana Lowasa nadhani huu ndyo urafiki uliokuwa unausema. Kuwa utaunda serikali rafiki kwa mama ntilie na Bodaboda na makuli wote
  9. Tanzania kama ulaya

    PICHA: Mama Regina Lowassa Atua Kwa Kishindo Jijini Mbeya

    Hivi mke wa mgombea wao yupo mkoa gani sahizi kumuombea kura Mzee wa chato?
  10. Tanzania kama ulaya

    Kyela Kimenuka. Lowassa amfutilia mbali Mwakyembe

    Mwakyembe yuko marikani kumalizia tafiti zake za lichimondi onhooo sorry rich mond
  11. Tanzania kama ulaya

    inasemekana Lakini eti itakua hivi. Wadau kuna ukweli wowote?

    :d:d:d:d:d:d:d:d:d:d:d:d:
  12. Tanzania kama ulaya

    Hili nalo la kujiuliza

    Kipanya mtoto kauliza swali la kijinga sijui la kiakili..........
Back
Top Bottom