Kilichotokea uwanja wa taifa ndiyo uhalisia wa watanzania hakuna tunachoweza chini ya haki.
Watanzania tumezoea magumashi sana, ingekuwa baada ya mechi kuna kuhesabu kura...:D:D:D:D:
Kuna huyu mtu anaitwa Magufuli. Kha!! Mahubiri yake yapo kimiujiza ujiza sn. Hakumbuki sijui kama kuna ilani ya chama. Safi sana Lowasa nadhani huu ndyo urafiki uliokuwa unausema. Kuwa utaunda serikali rafiki kwa mama ntilie na Bodaboda na makuli wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.