Recent content by Tanzania Halisi

  1. Tanzania Halisi

    Second interview NSSF

    Mimi nimeitwa lkn siendi
  2. Tanzania Halisi

    Rais Kikwete ateua Tume mpya ya Haki za Binadamu na Utawala Bora

    Hongera dada angu salma ali hassan kwa uteuzi huo, hakika sina shaka na uadilifu wako
  3. Tanzania Halisi

    Ukweli mchungu: Lowassa ameshatoswa na CCM

    Mbona lowassa yupo kimya sana? Hivi kina makonda aka chabruma hamuogopi ukimya wake? Lowassa anajua mengi kuhusu ccm kuliko ww makonda wa juzi tu hp... Muda ukifika lowassa tutamjua na mtakubali kwann anafaa kuwa rais wa hii nchi 2015..
  4. Tanzania Halisi

    Lowassa mbona amehamia Zanzibar?

    Lowassa ndiye chaguo la Watanzania 2015
  5. Tanzania Halisi

    CCM wamkosea heshima Edward Lowassa

    Mimi ni UKAWA niliye tayari kumuunga mkono Lowassa
  6. Tanzania Halisi

    CCM wamkosea heshima Edward Lowassa

    Kwanza naanza na Salaam kwenu wana Jf .. Naomba nikiri kuwa mimi ni mwana UKAWA niliyetokea kushawishika na kupendezwa na Mh Waziri mkuu aliyejiuzulu/ kuwajibika Feb 2008 kutokana na makosa yaliyofanywa na watendaji wake kuhusu sakata la RICHMOND (LOWASSA)..... Baada ya utangulizi huo naomba...
  7. Tanzania Halisi

    Hivi Lowassa hana washauri? Naona anapoteza muda na fedha zake bure!

    Lowassa ndiye rais wa awamu ya tano mtake msitake
  8. Tanzania Halisi

    Salamu ziwaendee wajumbe wa kamati kuu (CC) ya CCM

    Mimi ni mtanzania wa kawaida sana hasa ktk nyanza za siasa .... Katika shughuli zangu za kila siku hapa DSM na nje ya DSM ukipita ktk vijiwe vyote viwe vya kahawa, maskani za vijana, viwanja vya mpira, maeneo ya kujifunzia hususani mashuleni na vyuoni, ktk vyombo vya usafiri na sehemu za...
  9. Tanzania Halisi

    Mbio za urais CCM kimya

    Lowassa 2015
  10. Tanzania Halisi

    Mbio za urais CCM kimya

    Tunaenda na LOWASSA 2015
  11. Tanzania Halisi

    Nahitaji mkopo, dhamana ni title deed ya kiwanja

    No ni kiwanja kilichouzwa na halmashauri ya manispaa kimepimwa
  12. Tanzania Halisi

    Nahitaji mkopo, dhamana ni title deed ya kiwanja

    Kipo Mkuranga Mkwalia kitumbo kimepimwa ni ukubwa wa sq m 689
Back
Top Bottom