Mmmm, I wish niwe sijaelewa wanachomaanisha. Yaani kwamba mwanafunzi akipata ujauzito anaweza kupata elimu mbadala (mf. kufanya mtihani kama private candidate) kisha akimaliza form four anaweza kuchaguliwa kwenda mfumo rasmi (school candidate)! Yaani kwa jinsi nikivyoelewa "wazazi" hao wanaweza...
Kuna mwaka Bakhresa alikuwa no 1 on forbes list kwa Tz. Ni kati ya 2011 na 2014 hapo. Nadhani net worth yake ilishuka chini baada ya kuzidi kuzamisha pesa kwenye ujenzi wa viwanda vipya (Mkuranga pekee ni bn 250), meli na real estate pale Fumba. Hesabu ya networth huyumba nyakati za uwekezaji...
Sasa nakujibu kwa mara ya mwisho we Mungiki [emoji23][emoji23][emoji23]. Hapo Dar station patakuwa na lines mbili. Hivyo chombo ikiona imechoka haiwezi kwenda Ruvu kulala itatulia hapo kwenye line ya pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikenya kweli minyang'au na mibaguzi! Umeshindwa hata kuiuliza google ikwambie Rostam ni Mtanzania na si mhindi? No wonder mpaka mkachinjana kwa ajili ya wanasiasa. Laana ya ubaguzi itawatafuna milele msipoangalia.
Huyo Rostam alikuwa mpigaji tu enzi zile Tz ni shamba la bibi. Ni huyo JPM...
Ndiyo nyie The best 007 husema kuwajibu ni kupoteza muda. Zikitaka kulala zinaenda marshalling yard pale Ruvu km 93 (katikati ya hii section ya Dar-Moro).
Kuhusu kipande cha kutokea bandarini utulie. Kitakapoanza kujengwa utakiona. Kwa sasa endelea kuchezea mtori maana nyama ziko chini.
Sent...
Binafsi sina tatizo na rais mstaafu kupewa zawadi ya gari itakayoendana na hatua ya maisha aliyofikia (ya chini chini). Tatizo langu ni thamani ya gari na timing yake.
Katika nyakati ambazo kuna makundi ambayo unayaambia seeikali yako haina uwezo wa kuyakirimu kwa kiwango tarajiwa (watumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.