Hivi ww Kama nani unaanza kusema shida za wenzako mbona shida zako huzisemi? Utajua hujui muda ukifika. Hii nchi kubwa sana sio kisiwa Kama unadhani unaijua sana hii nchi jua huijui kuanzia Sasa.
Usimfananishe Lissu na watu waajabu. Ni Yeye #2020#. iwe jua , iwe kimbunga ni Yeye no else. Kwanza Lissu keshapenya kura za maoni ndani ya Chadema unamfananishaje na Slaa ambaye hakupenyaga kwenye Kura za maoni?? shame on you by fail to compare these issues. we endelea na Ccm yako ya Chadema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.