Japo Umetuandika na Kutuwasilishia Hoja zako Kinafiki na Kidhihaka zaidi, ila sitoshangaa kuona huu Uzi wako ukakubalika na akarejeshwa tena!!!
Umeshindwa kumuelewa mtoa madaMleta mada hujitambui wewe.
Kunenge anafanya kazi kiutu uzima, hakuna drama
Maybe wewe ndio mnafiki. Unataka tuandike hoja kama wewe ambavyo huandika? We differ. Akirudishwa ndio furaha yangu. Na ndicho nachotaman ili wenye wivu waumie
NdioWewe umezidi hii ya kutafuna machicha unaona ni afadhali?
Jamaa fundi sanaSarcasm at its best
Kwa wale wasiojua maana ya sarcasm ndio hii. Safi kabisa. Yaani unaongea kitu kana kwamba unamaanisha kumbe humaanishi yaani.....inakujaaaaa, inakataa......au.....inakuja kwa mbaaaaaaaaliiiiiii ( in Bwege z voice)
nimecheka hadi basi khaaaaahUandishi huu alikuwa anaujulia sana Pascal Mayala kabla hajajichetua.