Recent content by tanonane

  1. tanonane

    Pinda amtibua Lowassa

    CCM wamebaki wafa maji hakika itawagharim sana na wataumizana sana katika uchaguzi wa hapo mwakani...!!
  2. tanonane

    Uchawi umedunda kwa Ally Kiba

    Ni Sheeeedahh...!!
  3. tanonane

    Pinda amtibua Lowassa

    Msimamo wa Warioba ni thabiti hivyo CCM wataumiza sana vichwa...!!
  4. tanonane

    Maandamano CHADEMA na Escape from Sobibor

    Hakika hiyo ndiyo taswira yetu kama wana was nchi tena itatugharimu iwapo tutakuwa kama mateka waliosimama bila kujishughulisha kutoroka katika #Sobibor
  5. tanonane

    Live Updates: Yaliyojiri Mkutano Mkuu wa CHADEMA ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam...

    Kweli Chadema ni Sheedah, M4C iliwavuga CCM kiasi kwamba hadi leo wakiona mabango yake wanapagawa..! Shime kwa Chadema.
  6. tanonane

    Yanayojiri bungeni Dodoma: Ijumaa tarehe 12 Septemba, 2014

    Nakumbuka wakati anachaguliwa kuliongoza hilo bunge maalum la katiba aliingia na falsafa ya 'chura karudi kwenye maji yake' lakini huyu chura mbona amekufa kwenye haya maji yake...? Je uhodari wa huyu chura uko wapi ndani ya maji yake, hakika Samweli Sitta amebaki mfa maji hivyo ataendelea...
  7. tanonane

    Mshahara wa bank officer, Exim Bank

    Me sijui....................!!
Back
Top Bottom