RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
I wish wawafukuze Butiku na Warioba faster ili wakione cha moto! Kazi alizozifanya Butiku na Warioba kwa CCM hakuna hata mmoja aliekaribia, hawa wazee walijenga imani ya CCM mioyoni mwetu tukiwa makinda! Wasidhani kuwa CCM inakubalika kwenye baadhi ya vijiji kwa bahati mbaya! Wazee walifanyakazi ... Criminal minds siku zote ni shida tupu!!! .... Pinda akigombea na Lowassa tutauliza swali moja tu la Msingi... Miaka 2 ya Lowassa tumeshuhudia maendeleo Makubwa ya Kiuchumi! Miaka 8 ya Pinda tumeshuhudia watu wakiuawa kwa Mabomu, Risasi za Moto via programu yake ya "Liwalo naLiwe ...Wapigwe tu"...dini zote, watu wote wanataka maendeleo ama mabomu na risasi za moto? ...