I think,ujasoma na kulewa kile kanembe alichokusudia that's why u turn it into lililife Mimi kama mtu wa TIS naweza sema sema kanembe stayaway with our gvt.
Kama kichwa kinavyosema
Spacio 2002 and above
Mintcondition,fullvibali
Lowmilage
Nomber c au d,D itapewa kipaumbele
Dau m6 maongezi kidogo yapo
Nicheki kwa picha WhatsApp 0656800446 nije na fundi tukague gari tuchukue mzigo.
Picha ya kwanza nimeshindwa ya pili huyo ni mbwa kalala ya tatu hayo majani ni vichwa vya huyo jamaa,ya nne kunadada mmoja hapo hana miguu ya tano huyo dada wakat anamikono mitatu
niseme ukweli toka moyoni siku nikisikia polisi kauwawa au mwanaccm ameuwawa nitafurahi sana..hee jinamizi la kifo wakumbuke polisi na ccm uwajarie kifo ili wengine tupate kufurahi.
umeuliza vizuri sana ila si zani uliyemuuliza anauelewa mkubwa wa kuweza kujibu,ajui kuwa nimenyamaza kwasababu namuogopa sio kwamba nampenda na kundi ili tupowengi tunasubiri mtu wa kutuanzishia tu ili uwoga ututoke ila kwa hali inayoendelea kauwoga kanaanza kuondoka soon wengi tutakuwa tayari...
upo sawa mkuu,hata mimi nimebadili mfumo wa maisha zamani niliwaamini sana jf lakini sasa nipo kama thomaso naamini sana utube maana naona kwa macho mambo yanayotokea asante mchina kutuletea simu sasa tunaweza kuona na kujifunza mengi kuliko zama za ujinga nawaonea huruma vipofu wasio na uwezo...
nimekutana na huu uzi baada ya kutafuta madhara ya jongoo kwa binadamu ili nimsaidie mwanangu,napenda kukujulisha tu ndugu jongoo anasumu sio nime ila ninamshuhudia mwanangu wa mwaka mmoja amepata madhara hadi sasa anajikuna na vimemtoka vidonda kama vya moto ,alikuwa amemshika jongoo akijaribu...
unaonekana ulitoka kipindi anatoka dr wilbroad, hata kula ujampigia mume wao lowasa ila mboona shabiki roho inakuuma kuliko wanachama.chadema awana mgombea singida ccm wamepigwa hela pale walijua jamaa waliompa hela na kumshawishi agombee atakomaa sahizi kawageuka wanaweweseka cdm hatuna mgombea...
Salamu wanajamvi!
Tangomwitu ni mnyonge wa mawazo na macho yake hayana uwezo wa kuona ninakotoka wala ninakokwenda lakini baada ya kashikashi nyingi za siasa za watu kuama kutoka huku kwenda kule macho yangu leo yamepata kuona.
Amefanana na mwl.Nyerere na ni jembe kwelikweli huwa na mkubari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.