Recent content by tangazo

  1. T

    Nipo chuo mwaka wa pili,nasomea ualimu wa sanaa,nataka kuacha chuo

    Hiyo ndio hidden factor kama hamna ajira tz basi hakutakuwa na sababu ya kuwepo hayo masomo ni sawa nakuanzisha degree ya nuclear tz nia na madhumuni watu wakimaliza waende wapi kwa hivyo kama hakuna ajira au malengo ya mbele hakuna maana pia ya kutoa hiyo elimu
  2. T

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Juice ndio safi maana inaleta nguvu
  3. T

    Simu anayotumia bilionea Aliko Dangote

    m.gsmarena.com/vertu_signature_s-2753.php
  4. T

    Msaada: Hoteli Dodoma

    Hahahahaha nimecheka sana mkuu pia ahsante sana nitaiongezea kwenye orodha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  5. T

    Msaada: Hoteli Dodoma

    Nashukuru sana kaka unafaham viwango vya pesa kwa usiku mmoja
  6. T

    Msaada: Hoteli Dodoma

    Ungenipatia na maeneo mkuu ungenisaidia sana ili wakati wakuchagua nikiwa hata na tax asiejua mji tusisumbuane sana
  7. T

    Msaada: Hoteli Dodoma

    Vip kuhusu bei mkuu
  8. T

    Msaada: Hoteli Dodoma

    Ahsante elson nilikuwa nahitaji zilizo pemben ya mji kidogo
  9. T

    Msaada: Hoteli Dodoma

    Habari wakuu, Mimi ni mwenyeji kutoka Dar es Salaam nategemea kwenda Dodoma, naomba ushauri wenu wapi nitapata hotel nzuri yenye vinywaji malazi na chakula. Ahsanteni
  10. T

    SOFTWARE Nahitaji GTA V

    Nashukuruni wakuu nishapata
  11. T

    SOFTWARE Nahitaji GTA V

    Nitaipataje marandu na kwa bei gani
  12. T

    SOFTWARE Nahitaji GTA V

    Habari wadau samahan kwa usumbufu tafadhali mwenye game ya gta V ya pc tuwasiliane nashida nayo sana sharti awe anapatikana morogoro Ahsanten
  13. T

    Toro drip irrigation system

    Unapatikana wapi na sh ngap
Back
Top Bottom