Hiyo ndio hidden factor kama hamna ajira tz basi hakutakuwa na sababu ya kuwepo hayo masomo ni sawa nakuanzisha degree ya nuclear tz nia na madhumuni watu wakimaliza waende wapi kwa hivyo kama hakuna ajira au malengo ya mbele hakuna maana pia ya kutoa hiyo elimu
Habari wakuu,
Mimi ni mwenyeji kutoka Dar es Salaam nategemea kwenda Dodoma, naomba ushauri wenu wapi nitapata hotel nzuri yenye vinywaji malazi na chakula.
Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.