TAARIFA KWA UMMA
KUTAMBUA WATANZANIA WENYE TAALUMA NA UJUZI KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
1. Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi “East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP)” kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania ni moja ya miradi mikubwa...
Uzuri wa watanzania HASIRA zetu dhidi ya watawala zinaishia tu kuandika mitandaoni.
Siku tukiwa watu wa vitendo kuliko kuongea na kuandika ndipo tutakuwa tumesaidia dhidi ya huu uonevu
Uzuri wa watanzania HASIRA zetu dhidi ya watawala zinaishia tu kuandika mitandaoni.
Siku tukiwa watu wa vitendo kuliko kuongea na kuandika ndipo tutakuwa tumesaidia dhidi ya huu uonevu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.