Wana JF mnaotumia hii kitu mlishawahi kununua kwa wanaume??? Biashara za wamachinga zipo nyingi na zinafanywa na jinsia zote lakini hii mm inanishangaza wauzaji ni wanawake pekeyao...kwanini wanaume hawachangamkii hii fulsa ?
Wadau nimelazimika kuuleta tena huu uzi ili nipate msaada wenu juu ya jinsi ya kuingiza simu used na brand new tokea China na Korea. Nataka kuingiza simu genuine Samsung brand toka Korea na simu nyingine toka China. Kwa anayejua taratibu za uingizaji na makadirio ya Kodi tafadhali anijulishe...
Wadau napenda kuja mbele yenu kuomba msaada wa namna ya KUINGIZA simu used na mpya toka nje ya nchi km China na Korea .Mtaji ninao wa kutosha ila sijui km makadirio ya TRA yanakuaje kwa simu used na zile mpya.
Kwa yeyote aliyewahi kuingiza na ambaye anafanya Biashara ya simu uzoefu wako...
Hivi ukiwa CCM ujinga unahusika? Upofu na uziwi je?!! Huoni kinacho endelea wala husikii...?!! Hata kuwaza kweli huwezi?! ....mkuu wa wilaya wakati ananunua watu Arumeru wewe ulikuwa wapi? uko dunia gn?!! .Naamini wapo CCM welevu hasa na IPO siku watapata pa kusemea.@Mshana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.