Namna ya kupata mtoto wa kiume

Namna ya kupata mtoto wa kiume

Kwanza unatakiwa ujue siku za mwenza wako vizuri.
Nitaeleza kwa wale wa siku 28 tu.

Kwanza ijue siku mwenza wako alipata hedhi..then anza kuhesabu toka siku ile hadi siku ya 14...let say alianza leo tar 5 Jan.sasa siku ya 14 itaangukia tar 18 January.

Kwanini siku ya 14?kwasababu toka mwenza wako apate hedhi,itamchukua siku nyingine 14 yai jingine kupevuka na kuwepo katika mirija ya kurutubishia yai ambapo siku hiyo anaweza kupata mimba.

Sasa,baada ya kujua hilo,unatakiwa kujua life span ya mbegu za kike na zile za kiume.

Mwanaume anatia gamet mbili,yaani XX na YY.

XX inaishi mda mrefu yaani saa 72.

YY inaishi mda mfupi yaani saa 48.

Mwanamke yai lake linaishi kwa mda wa saa 36 tu na gamet anazotoa ni XX.

Hivyo ukirejea pale juu siku yetu ya mfano ya mwenza wako kupata hedhi ilikuwa tar.5 Jan hivyo siku ya tar 18 yai lake litakuwa limekomaa na kuwekwa sehemu ya kurutubishia(fallopian tube) tayari kwa urutubishaji.

Hivyo ukipiga hesabu zako pale,tar 18 hapati mimba?
Jibu ni kuwa atapata iwapo utakutana naye kwani yai litakuwa limekomaa. Na kama unataka mtoto wa kiume unashauriwa usubiri usiku sana kama kuanzia saa tano na kuendelea.

Tar 19 hapati mimba? Jibu ni kuwa atapata na asilimia kubwa sana atazaliwa mtoto wa kiume kwasababu yai litakuwa tayari kwenye mirija ya kurutubishia likiwa linasubiri mbegu za kiume.
Kumbuka male gamet za YY zina mbio zaidi ya zile za mbegu za kiume za XX.

Je tar 20 hatapata mimba? Jibu ni kuwa ukiwahi zaidi atapata kwasababu yai la kike linaishi kwa mda wa saa 36 hivyo ukiwahi kabla mda huo haujaisha basi utapata mtoto dume ila ukichelewa yai la kike XX litakuwa limekufa.

Vip kwa mtoti wa kike?

Tar 17 jan.hapati mimba? Jibu ni kuwa atapata kwa kuwa mbegu za kiume XX na YY zitakuwa hai hadi tar 18.

Je tar.16? Atapata kwa kuwa mbeguu XX na YY zitakuwa bado hai hadi tar 18 Jan.

Sasa vip tar 15? Atapata mtoto na uwezekano mkubwa ni mtoto wa kike kwasababu hadi tar.18 mbegu za kiume YY zitakuwa zimepitisha mda wake wa uhai yaani saa 48 na kuziacha mbegu XX peke yake zikijivinjari.

Tar 14 kama ilivyo tar 21 ni siku ya tahadhari tu lakini uwezekano ni mdogo sana.

XX zinaishi mda mrefu ila mbio kidogo na YY mbio sana lakini maisha mafupi.

So hesabu siku 14 toka hedhi ya mke wako,tar itakayoangukia ukiongeza siku 2 toka tar hiyo siku ya 14 ilipodondokea mda wa usiku wa siku ile ya 14 basi utapata dume na siku inayofuata mda wowote.

Na ukipunguza siku 3 toka siku ya 14 inapodondokea then ukutane na mwenza wako basi mtoto jike anaweza kuja....cheza tu na life span ya yai la kike na life span ya mbegu XX na YY basi

Karibu
Ok
 
Ni namna ya kucheza na siku za mwanamke, kwa maana mbegu za kiume ziko mara mbili, x na y. x huwa zinasafiri taratibu sana lakini hazifi upesi. y zinasafiri kwa kasi lakini hufa mapema. mbegu y huleta mtoto wa kiume. kwa hiyo ukitaka mtoto wa kike, kwa mfano unatakiwa ufanya tendo la ndoa masaa 24 kabla ya yai kushuka, wanawake wanasema siku za hatari
Mtoto wa kiume au kike "huamuliwa" na mwanaume.
Yai la mwanamke lina chromosome aina moja, mbegu za mwanaume zina chromosomes 2, moja ya kiume na moja ya kike. Mwanamke anayo ya kike tu. Hivyo mwanaume kwa kiwa amazo 2, akitoa ya kike ikakutana na ya kike atatoka mtoto wa kike, mwanaume akitoa ya kiume ikakutana na ya mwanamke atatoka wa kiume.
Hii ina-make sense hata kwa nini chances za kuzaa mtoto wa kike ni kubwa.
 
Mtoto wa kiume au kike "huamuliwa" na mwanaume.
Yai la mwanamke lina chromosome aina moja, mbegu za mwanaume zina chromosomes 2, moja ya kiume na moja ya kike. Mwanamke anayo ya kike tu. Hivyo mwanaume kwa kiwa amazo 2, akitoa ya kike ikakutana na ya kike atatoka mtoto wa kike, mwanaume akitoa ya kiume ikakutana na ya mwanamke atatoka wa kiume.
Hii ina-make sense hata kwa nini chances za kuzaa mtoto wa kike ni kubwa.
Hizi ni fikra mgando, je huyo mwanamke akikupindishia hesabu za siku zake utafanya je?
 
Asante kwa uzi mzuri tunasubiri trick za wale wanawake wenye mizunguko mirefu ...
 
Asante kwa uzi mzuri tunasubiri trick za wale wanawake wenye mizunguko mirefu ...
Kama mathalani ana mzunguko wa siku 40, . Utatoa kinyume, yaani 40-14=26. Hapo ina maana siku ya 26, ndo yai linatarajiwa kuwa litashuka.
Wanaofahamu zaidi watatujuza
 
Kwani Wewe unataka kuzaa Giggy Money na wema sepetu?
Mimi mke wangu akizaa mtoto wa kike nitafurahi maana nitampa jina la mama yangu.nampenda sana mama kuliko baba.hayo mengine mungu ndo anayejua.mtoto wako atakuwa na tabia gani.
 
Kama mathalani ana mzunguko wa siku 40, . Utatoa kinyume, yaani 40-14=26. Hapo ina maana siku ya 26, ndo yai linatarajiwa kuwa litashuka.
Wanaofahamu zaidi watatujuza
Hii ndiyo njia sahihi kwa mwanamke yeyote,, Kwanza tafuta cycle yake ujue ni siku ngapi yaani toka period 1 hadi nyingine, ukijua kazi ni Rahisi tu Anza kuhesabu siku ya mwisho ya cycle yake kabla ya bleed Rudi nyuma siku14 ile ya 15 ndo siku hatari zaidi kwake, na kama Huko juu ndg kaeleza vizuri tu kwa kuwa Yai litakuwa limeshuka sana Ukisex naye hiyo siku Mtapata mtoto wa kiume maana mbegu YY zina speed sana zitawahi kulifikia yai,,mfano

Mwanammke mwenye cycle ya siku 28.

1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,{11,12,13},(14),15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,

Hivyo ukiangalia mwenye mzunguko wa siku 28 yaani tume assume Blee imeanza Trh 1 kwa huo mwezi siku ya hatari zaidi kwa kuhesabu kutoka mwisho utakuta Trh 14,, hivyo masaa72 ambayo mbegu za XX hukaa hivyo kama ni mtoto wa kike mnataka fanyeni sex ktk siku ya 11, na 12, na msisex tena.. Kuna uhakika wa 90% wa kupata mtoto wa kike maana mbegu YY hadi hiyo Trh 14 zitakuwa zimekufa na kuziacha XX zikivinjari na zitarutubisha na ukitaka mtoto wa kiume fanyeni siku ya 14,, vivyo hivyo na mwenye cycle ya siku 30,31,32,33,34,35, mfano mwingine

1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,{21},22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35

Mwwnye cycle ya siku 35 siku hatari zaidi ni hiyo siku ya 21 mkisex hivyo cku ya 21 mtapata mtoto wa kiume mkisex siku 3 kabla yaani cku ya 18 mtapata mtoto wa kike.. Njia ni nyepesi tu hesabu siku 14 kutoka mwisho wa cycle.

N.B kuna wanawake wana cycle ya siku 15 HAWA ni ngumu kupata ujauzito Labda tu waamue kusex huku mwanamke akiwa bleed.

{1},2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15
Sasa utagundua kuwa siku yake ya Yai kurutubishwa ni siku yake ya kwanza kuingia bleed yaani wakati upande mmoja kukiwa na yai limekomaa ndo na yai la upande mwingine limeshapasuka,, hivyo mwanamke wa cycle ya namna hii anatakiwa Afanye mapenzi na mwenza wake siku ya kwanza ya bleed,,

KITU kingine mnapaswa kupima kwanza kama mwanamme uliyenaye ana mbegu XX na YY kuna baadhi ya wanaume pia wana XX pekee hiyo ndo hupelekea hata mpange vipi mtazaa watoto wa kike pekee,, ila siku mkeo akichepuka na kukutana na mwanamme mwenye YY na XX anazaa mtoto wa kiume wakipanga vizuri kalenda hivyo hilo pia ni Angalizo Mwanamme Pima kwanza ujue mbegu zako na pia ujue kama zina uwezo wa kurutubisha Sema wanaume wengi hasa wa kiafrika hawapendi kupima mambo ya uzazi huwa wamejiaminisha tu wako vizuri na hili ni tatizo sana ndo maana wanaume wengi wanalea watoto wasiokuwa wa kwao..
 
Hii ndiyo njia sahihi kwa mwanamke yeyote,, Kwanza tafuta cycle yake ujue ni siku ngapi yaani toka period 1 hadi nyingine, ukijua kazi ni Rahisi tu Anza kuhesabu siku ya mwisho ya cycle yake kabla ya bleed Rudi nyuma siku14 ile ya 15 ndo siku hatari zaidi kwake, na kama Huko juu ndg kaeleza vizuri tu kwa kuwa Yai litakuwa limeshuka sana Ukisex naye hiyo siku Mtapata mtoto wa kiume maana mbegu YY zina speed sana zitawahi kulifikia yai,,mfano

Mwanammke mwenye cycle ya siku 28.

1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,{11,12,13},(14),15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,

Hivyo ukiangalia mwenye mzunguko wa siku 28 yaani tume assume Blee imeanza Trh 1 kwa huo mwezi siku ya hatari zaidi kwa kuhesabu kutoka mwisho utakuta Trh 14,, hivyo masaa72 ambayo mbegu za XX hukaa hivyo kama ni mtoto wa kike mnataka fanyeni sex ktk siku ya 11, na 12, na msisex tena.. Kuna uhakika wa 90% wa kupata mtoto wa kike maana mbegu YY hadi hiyo Trh 14 zitakuwa zimekufa na kuziacha XX zikivinjari na zitarutubisha na ukitaka mtoto wa kiume fanyeni siku ya 14,, vivyo hivyo na mwenye cycle ya siku 30,31,32,33,34,35, mfano mwingine

1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,{21},22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35

Mwwnye cycle ya siku 35 siku hatari zaidi ni hiyo siku ya 21 mkisex hivyo cku ya 21 mtapata mtoto wa kiume mkisex siku 3 kabla yaani cku ya 18 mtapata mtoto wa kike.. Njia ni nyepesi tu hesabu siku 14 kutoka mwisho wa cycle.

N.B kuna wanawake wana cycle ya siku 15 HAWA ni ngumu kupata ujauzito Labda tu waamue kusex huku mwanamke akiwa bleed.

{1},2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15
Sasa utagundua kuwa siku yake ya Yai kurutubishwa ni siku yake ya kwanza kuingia bleed yaani wakati upande mmoja kukiwa na yai limekomaa ndo na yai la upande mwingine limeshapasuka,, hivyo mwanamke wa cycle ya namna hii anatakiwa Afanye mapenzi na mwenza wake siku ya kwanza ya bleed,,

KITU kingine mnapaswa kupima kwanza kama mwanamme uliyenaye ana mbegu XX na YY kuna baadhi ya wanaume pia wana XX pekee hiyo ndo hupelekea hata mpange vipi mtazaa watoto wa kike pekee,, ila siku mkeo akichepuka na kukutana na mwanamme mwenye YY na XX anazaa mtoto wa kiume wakipanga vizuri kalenda hivyo hilo pia ni Angalizo Mwanamme Pima kwanza ujue mbegu zako na pia ujue kama zina uwezo wa kurutubisha Sema wanaume wengi hasa wa kiafrika hawapendi kupima mambo ya uzazi huwa wamejiaminisha tu wako vizuri na hili ni tatizo sana ndo maana wanaume wengi wanalea watoto wasiokuwa wa kwao..
Safi sana
 
Kwanza unatakiwa ujue siku za mwenza wako vizuri.
Nitaeleza kwa wale wa siku 28 tu.

Kwanza ijue siku mwenza wako alipata hedhi..then anza kuhesabu toka siku ile hadi siku ya 14...let say alianza leo tar 5 Jan.sasa siku ya 14 itaangukia tar 18 January.

Kwanini siku ya 14?kwasababu toka mwenza wako apate hedhi,itamchukua siku nyingine 14 yai jingine kupevuka na kuwepo katika mirija ya kurutubishia yai ambapo siku hiyo anaweza kupata mimba.

Sasa,baada ya kujua hilo,unatakiwa kujua life span ya mbegu za kike na zile za kiume.

Mwanaume anatia gamet mbili,yaani XX na YY.

XX inaishi mda mrefu yaani saa 72.

YY inaishi mda mfupi yaani saa 48.

Mwanamke yai lake linaishi kwa mda wa saa 36 tu na gamet anazotoa ni XX.

Hivyo ukirejea pale juu siku yetu ya mfano ya mwenza wako kupata hedhi ilikuwa tar.5 Jan hivyo siku ya tar 18 yai lake litakuwa limekomaa na kuwekwa sehemu ya kurutubishia(fallopian tube) tayari kwa urutubishaji.

Hivyo ukipiga hesabu zako pale,tar 18 hapati mimba?
Jibu ni kuwa atapata iwapo utakutana naye kwani yai litakuwa limekomaa. Na kama unataka mtoto wa kiume unashauriwa usubiri usiku sana kama kuanzia saa tano na kuendelea.

Tar 19 hapati mimba? Jibu ni kuwa atapata na asilimia kubwa sana atazaliwa mtoto wa kiume kwasababu yai litakuwa tayari kwenye mirija ya kurutubishia likiwa linasubiri mbegu za kiume.
Kumbuka male gamet za YY zina mbio zaidi ya zile za mbegu za kiume za XX.

Je tar 20 hatapata mimba? Jibu ni kuwa ukiwahi zaidi atapata kwasababu yai la kike linaishi kwa mda wa saa 36 hivyo ukiwahi kabla mda huo haujaisha basi utapata mtoto dume ila ukichelewa yai la kike XX litakuwa limekufa.

Vip kwa mtoti wa kike?

Tar 17 jan.hapati mimba? Jibu ni kuwa atapata kwa kuwa mbegu za kiume XX na YY zitakuwa hai hadi tar 18.

Je tar.16? Atapata kwa kuwa mbeguu XX na YY zitakuwa bado hai hadi tar 18 Jan.

Sasa vip tar 15? Atapata mtoto na uwezekano mkubwa ni mtoto wa kike kwasababu hadi tar.18 mbegu za kiume YY zitakuwa zimepitisha mda wake wa uhai yaani saa 48 na kuziacha mbegu XX peke yake zikijivinjari.

Tar 14 kama ilivyo tar 21 ni siku ya tahadhari tu lakini uwezekano ni mdogo sana.

XX zinaishi mda mrefu ila mbio kidogo na YY mbio sana lakini maisha mafupi.

So hesabu siku 14 toka hedhi ya mke wako,tar itakayoangukia ukiongeza siku 2 toka tar hiyo siku ya 14 ilipodondokea mda wa usiku wa siku ile ya 14 basi utapata dume na siku inayofuata mda wowote.

Na ukipunguza siku 3 toka siku ya 14 inapodondokea then ukutane na mwenza wako basi mtoto jike anaweza kuja....cheza tu na life span ya yai la kike na life span ya mbegu XX na YY basi

Karibu
Asante sana
 
Ngoja nikafanye somo kwa vitengo nje ya ndoa, nikifaulu ndo nirudi ndani ya ndoa Hahaha
 
Back
Top Bottom