Umewasahau hawa manyang’au.
1. Fode Sanko(Sierra Leone)
2. Charles Taylor(Liberia)
NB: Mpaka vita vya wenyewe kwa wenyewe vinaishi Sierra Leone, maelfu ya wananchi walikuwa walemavu iwe ni miguu ama mikono. Na wengi wao wakiwa watoto na wanawake. Hata jeshi la Fode Sanko lilijaa watoto(U18).
Kwahiyo ukiangalia sana picha na video za mashoga kuna uwezekano siku moja ukashawikishika kuwa shoga?![emoji848]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapo muandishi amesema mzee Sembe alifikwa na umauti tarehe 22/05/1999 na Kama unakumbukumbu nzuri, je hiko kipindi Mwalimu alikua ameshafariki?
Jibu ni hapana Mwalimu alikua bado yuhai.
NB: Jitahidi kusoma kwa umakini taarifa unayoiona na kuuchangamsha ubongo kwanza kabla haujacomment...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.