Hao wanaosema mbaguz jmp ni wale waliowekana kikabila,hapo TRA na CRDB sasa hiv kimenuka hakuna dili tena ni mwendo wa hakk tu ndo mana,mnachonga sana,na bdo kaz ndo imeanza mtarud kula ndiz migombani.
Achana,nae maboya,sana hawa wakiwa na,shida wanyoonge yani wanaweza hta kutoroka kwao kwa ajili yko akipta boya mwngine anakumwaga bila huruma ------- sana
Kuna,watu toka juzi wapo huku wanahamasisha watu wahame huo mtandao wa tigo toeni tamko watu wahame mana,wengi wana pesa,zao tigo pesa,wanataka kuzitoa wahame
Hebu boresheni mitandao huku Ludewa na Njombe mbona huu ni mwezi sasa network ni tatizo. Kama leo toka mchana mpaka muda huu network inasumbua sana.
Kama wateja ni wengi semeni wengine tupungue ili huduma ziwe nzuri watu wanashindwa kufanya kazi zao huku..
Hawa wanaopinga Magufuri % kubwa walikuwa wanafaid kwa mfumo ulopita,sema hatujuani hum ila mtz kwa kawaida ukiacha,tofaut, za vyama magufur ana,pave the way to success na,tz itakuwa mpya mda x mrefu
Kaka hapo juu nimekuelewa vema,sana tatzo la,sis watz tuliowengi ni wanafiki kama,Magufuri asingefanya haya hawahawa ungewasikia,wakisema,amemezwa na mfumo na hakuna jipya atafanya yani anafanya kwa matakwa ya chama,leo amejitoa kuikomboa nchi ilokuwa mikononi mwa wachache walokuwa wakifaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.