Kaka hapo juu nimekuelewa vema,sana tatzo la,sis watz tuliowengi ni wanafiki kama,Magufuri asingefanya haya hawahawa ungewasikia,wakisema,amemezwa na mfumo na hakuna jipya atafanya yani anafanya kwa matakwa ya chama,leo amejitoa kuikomboa nchi ilokuwa mikononi mwa wachache walokuwa wakifaidi...