Habar zenu wapendwa JF...........
Napenda PCM lkn cjajua coz nzur ya kusomea.Tafadhalin naomba ushaur endapo nkichukua PCM coz ya kusomea kama ntafaulu kwa uwezo wa mungu nikiingia chuo.
1.Hivi mtu anaweza kuoa mtoto wa mama yake wa kambo?????
2.unawza kuoa mtoto wa bamkubwa?????
3.je anaweza kuoa mtoto wa mama Mkubwa/mdogo kwa upande wa mama.????
Wapendwa JF
Nimepewa sh.100000 kwa ajili ya kuanzisha biashara niwez kujikim kimaisha.Nlikuwa naomba ushaur kuhusu biashara nnayowez kuanzisha kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.