Recent content by Tamu ya moyo

  1. T

    Kuna nini nyuma ya makampuni ya mabasi yanayoibuka kila kukicha? Au ndo kodi zetu?

    Taja makampuni hayo, ili bayana uweze kupewa majibu kamili.
  2. T

    Boss wako akikuudhi unamfanyaje?

    Daima, mtaka cha uvunguni, lazima ainame. Inategemea uko vp kimaisha. Lakn kama maisha yako ndo yana tegemea chanzo hcho kwa kipato, ni bora kuvumilia. Kwani hakuna maisha dunia hii yasiyo na changamoto. Wangu mtazamo.
  3. T

    Demu ananiomba anilalie zipuni!!

    Take care, wengine vibaka. Kuwa na pete, na kufanya kazi wizara ya ulinzi si ki2. Usije mpa coy. Asubuhi ukaamka hata nguo ya ndani huna!
  4. T

    Uhusiano kati ya Ufaulu Kidato cha sita na Vyuoni

    Sup, ku-disco, chuo, kunasababishwa na mambo mengi. Mfano, mazingira, vyuo vingi TZ, mazingira yake ni magumu, hasa pale unapo kosa hela ya kujikim kwa muda mwafaka. Uhaba wa walimu vyuoni, mpaka inafikia kutomaliza silabas, au kupigwa extreem ikiwa mwalim ameazimwa toka chuo kingine. Zipo...
Back
Top Bottom