Poleni na Majukumu ya wiki nzima;
Naomba mawazo yenu katika hili!
Wanafunzi wanaopata Division One kidato cha sita hupewa kipaumbele sana na baadhi ya vyuo kama UDSM,Mzumbe na kwingineko.
Tulitegemea wafaulu sana wanapokuwa vyuoni, lakini bado kunakuwa na sup(kukamatwa), pamoja na wengine kuacha kabisa, na wengine ku-disco. Inasikitisha kuona mtu amefaulu kidato cha nne, sita anashindwa kuhitimu Chuoni.
Wadau tatizo hapo ninini?
Naomba mawazo yenu katika hili!
Wanafunzi wanaopata Division One kidato cha sita hupewa kipaumbele sana na baadhi ya vyuo kama UDSM,Mzumbe na kwingineko.
Tulitegemea wafaulu sana wanapokuwa vyuoni, lakini bado kunakuwa na sup(kukamatwa), pamoja na wengine kuacha kabisa, na wengine ku-disco. Inasikitisha kuona mtu amefaulu kidato cha nne, sita anashindwa kuhitimu Chuoni.
Wadau tatizo hapo ninini?