Recent content by tamimy

  1. tamimy

    Umama wa kambo umenishinda kabla hata haujaanza rasmi!

    umepewa laki moja kwa ajili ya watoto umetumia nusu tu 50% huo ni ufisadi.. chenji umeficha ...ungekuwa na akili na upendo ungewanunulia vijizawadi hata viatu au kitu chochote ungewapa hata buku mbili mbili au buku tano ..wewe umeenda kuificha mume hujamwambia watoto hujawaambia ..miaka kumi na...
  2. tamimy

    Ni hakika, Adam na Eva si binadamu halisi wa kwanza!

    umbumbumbu wa kutokusoma vitabu ndio huu mtoa mada hajanukuu wala kukopi aya yoyote kwenye hivyo vitabu zinazoonyesha upotoshaji bali mihemko kaa chini usome ndo uanze kubisha sio kukopi vipengere vya wanasayansi uchwara na kutuletea hapa ni upotezaji wa mda na nguvu na akili Sent using Jamii...
  3. tamimy

    Ni hakika, Adam na Eva si binadamu halisi wa kwanza!

    kama wanasayansinwameshindwa kujua binadamu alitoka wapi wanaanzaje kupinga narration zingine ....hao ni wanasayansi au wanga?! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. tamimy

    FRIDGE WESTPOINT 500,000/=

    economical ...inatumia umeme mdogo sana Sent using Jamii Forums mobile app
  5. tamimy

    FRIDGE WESTPOINT 500,000/=

    sina mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. tamimy

    FRIDGE WESTPOINT 500,000/=

    haijawahi kufanya frosting mkuu iko vuzur sanaa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. tamimy

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    nauza friji west point almost new haina tatizo lolote bei laki 5 inapungua kidogo lipo makumbusho contact 0686055444 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. tamimy

    FRIDGE WESTPOINT 500,000/=

    friji westpoint brand almost new haina tatizo lolote inauzwa iko makumbusho . bei LAKI TANO contact 0686055444 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. tamimy

    Tuliowahi kutembea kwa sababu ya kukosa nauli tukutane hapa

    Nilitembea kutoka kinondoni mkwajuni hadi ununio na kurudi na sio mara moja acha tu ..staki kukumbuka kabisaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. tamimy

    Nitasema Kweli daima fitina kwangu Mwiko: Zitto anasukumwa na mambo haya matatu katika harakati zake

    Hakuna mwanasiasa wa upinzani aliyeweka kuleta damage kubwa kwa selikali iliyopo madarakani kwa awamu ya nne na ya tano zaidi ya ZITTO ..hayo madai mengine ni umbea kama umbea nwingine Sent using Jamii Forums mobile app
  11. tamimy

    NAUZA MTUNGI WA GAS SAIZI YA KATI 15KG ORXY UPO MAKUMBUSHO

    poa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. tamimy

    NAUZA MTUNGI WA GAS SAIZI YA KATI 15KG ORXY UPO MAKUMBUSHO

    ni 50,000/= nilichanga bei kidogo na ishu nyingine karibu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. tamimy

    NAUZA MTUNGI WA GAS SAIZI YA KATI 15KG ORXY UPO MAKUMBUSHO

    kwa anayehitaji mtungi mtupu kilo15 orxy anichek kwa namba 0686055444 bei Tsh 50,000/= upo makumbusho Sent using Jamii Forums mobile app
  14. tamimy

    Kuna tukio la kishirikina liliwahi kunitokea miaka kama 20 iliyopita na limebadilisha maisha yangu

    achana na hizo imani acha kuunganisha matukio ....unapoona kitu chochote cha ajabu fanya scientific research kwanza utaja gundua kuwa ni akili yako tu umeipindisha kuelekea wewe unakokuwaza ... kuna watu wakifeli tunatafuta wa kumlaumu ulichokigadithia hadi mda huu hujaonyesha kitu chochote cha...
  15. tamimy

    Nauza msasa wa mbao wa umeme

    Msasa wa umeme aina ya BOSCH PSS 200 AC. Ni brand new haujawahi kutumika wa pembe nne. Bei laki moja 100,000/= Nicheki kwa no 0686055444 niko dar mbezi mwisho
Back
Top Bottom