Hili swala sijui why linakuwa hivi !! Bado sijaona msingi wa kuzusha mambo mengi kisa kutumika neno neno dhaifu , kila MTU ni dhaifu tu labda asiwe mwanaadamu !! Spika ndugai sasa aachane na jambo hili maana CAG sio mwanasiasa kabisa anapoendelea kulumbana anapoteza sifa ya kuwa spika kabisa ...
Duh aiseeeh
Kumbe inawezekana ukafunga ndoa mwanaume akawa mzuri kuliko mwanamke kweli kipendacho roho hula nyama mbichi tu mhmhmh dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada umechanganyikiwa au umefanywaje !???, uliza kwanza na uwe na heshima sio kila MTU wa kuropokea tu kama huwez kushauri nyamaza kimya sheria za jf huzijui au!??,
Ngoja nikwambie labda kwa faida maaana Nina upendo na nimekusamehe
Mimi walianza kunikata muda tu na kiasi kilichokuwa kimebaki...
Dah huu ni ukatiri aisee hii gari ya Government kumbe!??? Aisee hapa ni kucheza na wave za wakati huu dereva atakuwa sio mzima kama alifanya hivi kwa utashi wake
Wapendwa habari, kuna vitu vinatia ghazabu sana , nimewalipa higher Education students loans board /HESLB balance yao yote na barua ya clearance wametoa nimpe mwajiri , well cha ajabu mpaka sasa bado nakatwa tu kupitia salary na napouliza mwajiri huku halmashauri ananiambia deni LA HESLB...
Mimi namkubari jk
Katika safari hizo zote Mimi sijaona tatizo , huyu ndio rais aliyeenjoy zaidi urais wake !
Hawa wengine wataishi maisha magumu tu maaana kama husafiri unakuwa mshamba tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.