Ndugu yangu ni lazima apitie veta asugue miaka mitatu, apate cheti ndio aende huko asugue tena mitatu kupata diploma, ndio akasome hio digrii uliyomshauri
Story ilipoanza tu kama muelewa ushagundua kitu, number yako ya private ikaita, Ni mke wako ndio alipiga. Aliijuaje hio number yako ya majanga? Mpaka hapo mke wako alishajua uozo wako na umalaya wako, aliamua kufanya hivyo ili akurushe roho na wewe. Ila hata kama anagongwa si na wewe unagonga...
Heshima kwenu wakubwa zangu, mimi ni kijana wa miaka 19 nimemaliza kidato cha nne 2023, bahati mbaya sikufaulu kuendelea kidato cha 5, nikaamua niombe kusoma chuo cha veta kozi ya Welding and Fabrication.
Baada ya kufanya maombi na mtihani, wamenipangia kusoma FITTER MECHANICS, mimi napenda...
Mkuu hao parestina hawawezi kumpiga mu Israel hata wafanyaje, tena sio wao tu, hata waungane na iran, misri, Lebanon, siria na Iraq, washajaribu wakashindwa. Sasa wewe unataka hamas peke yao washindane na jeshi la Israel wataweza vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.