Hapo vip!
Binafsi naheshimu na kuamini dini zote zinazomtambua na kumuamini Mungu.
Ila binafsi nimejikuta mimi ni mkristo na naamini nipo eneo au katika imani sahihi na ya kweli pasina shaka.
Ila nina swali huwa najiuliza,biblia yetu pendwa na iliyojaa hekima,unabii,upendo ,unyenyekevu na...
Yanga wafungiwe tu na CAF hata miaka 5 na point wapokonywe wapewe Goboreni kwasababu imemuadhiri kocha kwenye kazi yake...yanga wameshusha hadhi hilikombe
Hii mindset itakutesa sana..hapa duniani kila MTU ni unique ana attitude, behavior, character Na IQ tofauti...utachelewa sana...mjaji MTU kutokana Na tabia Yake mwenyewe...ndio maana sio wachagga wote wanafanya biashara..kuna wengine tumeawajiri kwenye biashara zetu Na wangine ni walala hoi...
Lina kera Na nilakipuuzi kwasababu nakumbuka kipindi Fulani wakati nimemaliza chuo wakati natafuta kazi ilikuwa naulizwa sana hili swali Na hawa jamaa Na Nikishawaambia kabila tofauti nawao Hapo sipati kazi
Hapo VIP!
Hili swali huwa sipendi ambao Wachaga wengi wanapenda kuiliza. Eti Wewe ni kabila gani?
Hawa jamaa wanamambo ya Kipuuzi sana..nadhani kwasababu wanaukabila sana ndio maana wanapenda sana hili swali.
Halo vip!
Moja kwa moja kwenye mada husika ni hivi nimesuka mkeka wangu.
Na Ila baada ya timu zote kutoa Na walikuwa wananiletea cash out nakaa.
Sasa wameamua kuchana mkeka wangu kwa makusudi.
Ni hivi Luna match mbili nimeweka 1.5 Na match yakwanza imeisha kwa 1-1 Na match ya pili imeisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.