Recent content by Tajiri Tanzanite

  1. Tajiri Tanzanite

    Yanga ni zee ambalo halina mafanikio ukilinganisha na umri wake

    Hapo vip, Nimejiuliza maswali sana kuhusiana na hizi kelele za yanga dhidi ya Simba sc, kuweka mabango na kalele.za kufika robo fainali club bingwa. Majibu ni kwamba yanga ni zee ambalo halina mafanikio ukilinganisha na umri wake. Kwasababu tokea Dunia kuumbwa na yanga kuanzishwa ndio mara a...
  2. Tajiri Tanzanite

    Manabii wa uongo

    Aisee ni hatari tupu..hivi na haya makanisa ambayo wanavaa manguo meusi na nyeupe siku maalum na kunyoa viduku ni ya pande zip?
  3. Tajiri Tanzanite

    Hii vita kati ya mwanadamu na shetani ni vita ya uonevu(haina usawa na haki)

    Hapo vip!! Awali ya yote nadeclare yakwamba ni lazima nitalipiza kisasi cha milele dhidi shetani na lazima nitalipa kisasi juu yake. Nije kwenye mada husika yakwamba ninaposema hii vita kati ya mwanadamu na shetani sio sawa na haki ni kwasababu zifuatazo. 1.Vita hii mwanadamu ni kiumbe ambayo...
  4. Tajiri Tanzanite

    Hii vita ya Mwanadamu na Shetani haina usawa na haki

    Hapo vipi? Awali ya yote nadeclare yakwamba ni kisasi cha milele na shetani na lazima nitalipa kisasi juu yake. Nije kwenye mada husika ya kwamba ninaposema hii vita kati ya mwanadamu na shetani sio sawa na haki ni kwasababu zifuatazo. 1. Vita hii mwanadamu ni kiumbe ambacho kwa namna...
  5. Tajiri Tanzanite

    Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

    Hawa jamaa wamewajaza ndugu zao daharini sana,pia kibosho na rombo kila nyumba inakichaa.usitamani mafanikio ya mtu..pambana na uangali kupitia Mungu utafanikiwa vip katika maleengo yako ila bidii na kujiongeza inamashiko sana katika mafanikio
  6. Tajiri Tanzanite

    Nataka kuwa baba watoto Lakini siyo mume

    Me mwenyewe nina watoto watatu mama tofauti..cha msingi tuwachukue watoto ili tuwaleee wenyewe na nimehawachukua wawili..sitaki stress na marafiki zake shetani.
  7. Tajiri Tanzanite

    Tetesi: Simba imepasuka. Kuna Simba ya Try Again na Simba ya Mo, Kila upande unauroga upande mwingine

    Bora mwekezaji muafrika kuliko muhindi na mchina...Mwekezaji bora kabisa ni mzungu anafyata muarabu then mwafrika.. na mchina wakatafute tenda za kutengeneza barabara na muhindi awekeze kwenye kiwanda vya kutengeneza viungo au pilipili kabisa
  8. Tajiri Tanzanite

    Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

    Muhindi na mchina wote wananyota ya shida sana..mtu mwingine hawezi kufanikiwa.Bora mzungu,mwafrika na muarabu...muhindi na mchina wakatebngeneze barabara tu
  9. Tajiri Tanzanite

    Young Africans inaweza kucheza mpira hata kwenye moto

    Hii takataka iliyojitafuta juzi..yanga ni kama mgumba aliyepata mimba uzeeni,akiwa na miaka 86..lazima makelele mtaani yawe mengi..tokea iyanzishwe ndio imebahatika juzi kuingia robo final Hii takataka iliyojitafuta juzi..yanga ni kama mgumba aliyepata mimba kwa miaja 86..lazima makelele mtaani...
  10. Tajiri Tanzanite

    Nataka Kumroga Mo Dewji aiachie Simba SC yetu mwenyewe, je nitapata wapi Mganga hatari?

    Nyota ya muhindi na mchina ni ngumu,wapo tayari wengine washone viraka wao waneemeke..ni race moja yenye tabia za kimaskini sana..ili timu ifanikiwa ipate mwekezaji mzungu,mwarabu kidogo na mwafrika.
Back
Top Bottom