Recent content by Tajiri Tanzanite

  1. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Simba inaendelea kudhihirisha ubora wake katika Mashindano ya CAF

    Siku CCM inatoka madarakani Na yanga inashuka daraja..Simba Na Azam watakuwa watani wa jadi
  2. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwa nini manabii na mitume hawakuona mambo haya

    Hapo vip! Binafsi naheshimu na kuamini dini zote zinazomtambua na kumuamini Mungu. Ila binafsi nimejikuta mimi ni mkristo na naamini nipo eneo au katika imani sahihi na ya kweli pasina shaka. Ila nina swali huwa najiuliza,biblia yetu pendwa na iliyojaa hekima,unabii,upendo ,unyenyekevu na...
  3. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Hali ngumu ya uchumi anayoipitia mtu...inaweza kuwa sababu ya kutengwa?....

    Nyakati za mwisho watu hupenda na kuhusudu pesa kuliko ubinadamu..ukitambua nyakati itakusaidia uache kulalamika sana.
  4. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Unafahamu nini kuhusu Football Gangsters?

    Acha kubrainwash watu,yanga ni wachawi,masikini,wapumvavu,wajinga na washamb,CAF iwafungie maana wanashusha hadhi ya mashindano ya kimataifa.
  5. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwa Tukio Hili Yanga Sijui Kama Atakwepa Rungu la CAF

    Yanga wafungiwe tu na CAF hata miaka 5 na point wapokonywe wapewe Goboreni kwasababu imemuadhiri kocha kwenye kazi yake...yanga wameshusha hadhi hilikombe
  6. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mwigulu asijiuzulu ili kunusuru Roho yake?

    Wakristo tujifunze jambo,tuache tabia ya kusema mpende adui wako..ila imeandika mpende jirani yako.
  7. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    H Sio Kweli ni laana ya ukabila inawasumbua
  8. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    Watajitetea ila lengo lao ni ushamba wa ukabila
  9. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    Hii mindset itakutesa sana..hapa duniani kila MTU ni unique ana attitude, behavior, character Na IQ tofauti...utachelewa sana...mjaji MTU kutokana Na tabia Yake mwenyewe...ndio maana sio wachagga wote wanafanya biashara..kuna wengine tumeawajiri kwenye biashara zetu Na wangine ni walala hoi...
  10. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    Unataka kutambika au Wewe in mganga wa kienyeji?
  11. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    Lina kera Na nilakipuuzi kwasababu nakumbuka kipindi Fulani wakati nimemaliza chuo wakati natafuta kazi ilikuwa naulizwa sana hili swali Na hawa jamaa Na Nikishawaambia kabila tofauti nawao Hapo sipati kazi
  12. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wachaga wanapenda kuuliza hili swali?

    Hapo VIP! Hili swali huwa sipendi ambao Wachaga wengi wanapenda kuiliza. Eti Wewe ni kabila gani? Hawa jamaa wanamambo ya Kipuuzi sana..nadhani kwasababu wanaukabila sana ndio maana wanapenda sana hili swali.
  13. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Gigy Money Waziri Katambi alitupa elfu 50 za kula. Aendelee kutuita tu kila wiki

    Aliyeanzisha harakati za kudai Uhuru kwa waafrika alikosea sana.
  14. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania CCM ikitoka madarakani Simba na Azam ndio zitakuwa timu kubwa na watani wajadi Tanzania

    Hakuna timu nyingine Tanzania inajihusisha Na siasa tofauti Na yanga Yanga itakuja kushuka daraja CCM wakitoka madarakani ni swala LA muda
  15. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Hii kampuni ya bety ya sportbet imenidhulumu aisee.

    Halo vip! Moja kwa moja kwenye mada husika ni hivi nimesuka mkeka wangu. Na Ila baada ya timu zote kutoa Na walikuwa wananiletea cash out nakaa. Sasa wameamua kuchana mkeka wangu kwa makusudi. Ni hivi Luna match mbili nimeweka 1.5 Na match yakwanza imeisha kwa 1-1 Na match ya pili imeisha...
Back
Top Bottom