Umeuliza swali zuri sana Ila changamoto unashambuliwa Na maneno ya kwenye kahawa badala walete majibu ya kibayologia..watanzania wengi wanakimbilia kujibu jibu kila kitu kirahisi tu kwasababu ya IQ ndogo.inakera sana
Tunaomba madokta Na wanayansi watupe majibu
A
Hapa hauengelei mambo ya Yesu na shetani... waganga wa kweli haswa wenyewe wanamtegemea Mungu.Nilishaenda kwa waganga sana kuna wanaofanya ile huduma kama kusaidia watu wanao onea na hawataki dhuluma wala kumuonea mtu.
Hapo vip!
Jamani nina tatizo sereous,ninabiashara sehemu kila nikiweka mtaji then mtaji unakata..na nauza kidogo na pale ni stand kabisa ila majira wanauza na biashara zao haziyumbi kabisa.
Mimi nipo Arusha ila nikimpta mganga mzuri wa kujija kunisindikia eneo langu la biashara itakuwa poa...
Muafrika anajikutaka anajua kila kitu ndio maana wanapigana kila mahali..congo,uganda,rwanda,south Afrika n.k ujuaji wa ujinga na upumbavu na niwapingaji wa kila kitu...jamii yenye laana hivi
Bora kubetty kuliko mademu na pombe...wasomi wamemaliza vyuo vikuu hawanajira alafu unakuja kuleta ushauri wako wa kimasikini hapa...ishauri kwanza serikali yako itengeneze fursa za ajira kwa wasomi na namna ya kuwainua wafanyabiashara wadogo.
Kubetty ni uwekezaji kama mwingine
Nchi ya kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.