Wanaitwa Reptilian peoples au lizard peoples,wazungu wanafahamu sana..andika tu YouTube maana ya Reptilian au lizards peoples au nenda kasome utafiti uliofanywa na David Icke juu ya hawa watu..amefanya utafiti kwa zaidi ya miaka 30,anawafamu vizuri
Imagene hivi kama kuna watu wanaenda kwa...
Hapa umereacts kwa kutumia hisia,chuki,ushabiki na udini,vitu hivi vitakunyima kujua ukweli,jaribu kuelewa mambo kwa kutuliza kichwa..mtoa mada ana hoja nzito tena inayoitaji akili za juu kumuelewa.
Ipo hivi marehemu alikwishawapa kila mtu sehemu yake hata kabla 2006,kisha akaziandika katika wosia wake kwasababu alijua kuna watoto wengine watataka kuja kuwadhulumu wengine
Huo ndio haki inayotakiwa ishemiwe na kila mtu,imagene wao wafe waandike wosia alafu watu waje watengue kwa maslahi yao..Asante comrede Mrangi kwa kuishi katika haki.
Afrika ni kama kuzimu,mwenye haki ni nimwalifu na mwalifu ndio anapewa haki...hii rangi nyeusi Mungu hajakosea kuwapa kumbe anamaana yake
Najiuliza hivi kwenye maswala nyeti kama haya ya miradhi tena imefika mahakama ya rufaa,wanashindwa kuunda hata kamati ya kimya kimya ili wapate ukweli kabla...
Bora mganga wa kienyeji kuliko Hakimu au Jaji(judge)
Hapo vip!
Kuna wosia wa huyu Mzee Lonyamali Abraham Laizer
Mzee huu ni miongoni mwa wale matajiri wa wazamani waliofanikiwa kwa nafasi yake:
Sasa bhana, mzee huyu alijaliwa kuwa na watoto wengi katika maisha yake,lakini kabla hajafa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.