Recent content by Taj

  1. T

    Madereva wa bodaboda tuheshimu sheia za barabarani

    Tutamaliza vizazi vyetu vya kesho kwa tamaaa za madereva wa bodabodaa wasiofuata sheria na mamlaka husika kutowajibika ipasavyo, ebu tuamke wakati ni huu !!
  2. T

    Jaffarai, kauli na matendo vinapotofautiana...

    mmbangifingi: inaelekea umezoea kufunga magoli ya penati sio ya kutafuta , thread (picha) ilizingatia utengano sambasamba (fanyia kazi )
  3. T

    Jaffarai, kauli na matendo vinapotofautiana...

    Alitutangazia humu humu kuwa ameachana na Shree but kila aendapo mbona yupo ???
  4. T

    FAKE Vs REAL...

    Duuuuuuuuu, napita tuuu ila zote kama fek vile !!!! sure
  5. T

    Cyprian Musiba amepotelea wapi?

    wadau huyu mtangazajiwa chanel ten cyprian Musiba ametokomea wapi sijamuona kwenye kipindi cha sport long time au anajipanga kula za maoni ubunge 2015 ?
  6. T

    PhD mbili za Nchimbi Emmanuel ni halali? High level ya uchakachuaji Tanzania

    Tulishuhudia mhe . huyo akitunukiwa Phd toka Mzumbe last week , ingawa inafahamika toka awali kuwa nchimbi tayari alikuwa na Phd ( Ukweli Phd yake tayari ilishafutwa tangu kabla ndio sababu alianza tena kuitafuta) . Wakati akidefende research pepaer yake internal supervisor wake aligoma kumaward...
  7. T

    Joseph shamba vengu wa orijino komedi

    Huyo dogo ana zaidi ya miezi mitatu yupo muhimbili ICU anaumwa , hali yake si nzuri kabisa, last month hata mh. ****** alipita kukjulia hali MNH na karibu media nyingi zililipoti hali ya huyo dogo, inaelekea wachangiaji wa forum hii wote mnapata updates humu ndani pekee ndio maana hata...
  8. T

    Lowassa aikana Richmond, asema alijiuzulu kwa heshima ya serikali na chama chake!

    my Take. gamba number one ccm ni ******, liking'oka basi wengineo wote watafuata huko
  9. T

    Serena acquires Mövenpick Hotel in Dar es Salaam

    Kenya's TPS Eastern Africa , operator of the Serena Hotels chain, has bought a five-star hotel in the Tanzanian capital Dar es Salaam, giving the chain a presence in one of the region's fastest-growing economies. TPS said it had acquired the 230-room, five-star Royal Palm Hotel from...
  10. T

    Kwanini rais wetu hatembelewi?

    Serikali yake haina uwezo wa kufanya mvua inyeshe !!!
  11. T

    Kituo cha Startimes Bamaga nusura kiungue moto

    hawa mafundi wa tanesco ni bogus kabisa wht are they doing !
  12. T

    Prof. Safari awajibu wanazuoni wa kiislamu kuhusu DC

    People 's Power , CDM mbele kwa mbele mpaka kieleweke !!!
  13. T

    Nape Nnauye, kujiuzulu ni uungwana

    DUUUUUUUU, ujumbe umefika kabisa ila Nepi nafsi yake inamsuta , kikubwa kwake kwa sasa itakuwa ni tumbo tuuu !! Kweli nyumba ya udongo haipigwi deki !!!
  14. T

    Rais Kikwete ateua wakuu wapya wa mikoa

    Ni suala ambalo linakera sana , ila suruhisho ni kweli katiba mpya inahitajika , kwani bado ni hali ile ile ya uswahiba inaendelea otherwise hao waliopewa ukuu wa mikoa hawana jipya zaidi ni kuunga mkono hoja !
Back
Top Bottom