Kama Amana Bank wanachofanya ni trade means
Ukitaka kununua gar wao watakununulia na watakuuzia bei yao zen ww kwenye payment utarudisha kidog kidog
Riba ni kutoa kitu zen mrejesho wake unataka urejeshewe kitu kile kile but kiongezeke
Mfano hata ukitoa debe mmoja la mahind kwa kurudishiwa...
Mkuu kama sikosei ilo neno ubeberu lipo kwenye vtabu nlivyosoma siyo tusi
Kama sikosei kwenye darasa la tano tulisoma mifumo ya maisha miongoni mwao kulikuwa na
1. Ubeberu
2. Ubepari
3. Ukabaila
4. Ujamaa
Na mengine mengi
Mkuu kunasehem kunaitwa idodoma ni mpakani mwa Dodoma na iringa ambapo kunapakana na mto ruaha kunafaa sana
Nilipita huko nikakutana na wanyama wazur wametekelezwa na watu wao mi nahisi kunakufaa zaid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.