Habar za humu jaman
Hiki kitabu nlikisoma kipind nipo secondary but sikutilia maanani jina la hii tamthilia
Ila nimekuja kusadiki kuwa lile jina la kitabu litaishi miaka yote dunian
Jana nlitakiwa kuhuzuria kipind ambacho j4 ninamtihani wake ila kuna manzi akaniahid anataka kunipa penzi so nkajikuta naahirisha kipind nkaenda kwa huyo demu so leo kila nkiangalia past paper sioni cha kufanya ndo hapa nikakumbuka kile kitabu nlichosoma secondary
Kama na ww mdau yameshakukuta kama haya tunaweza kushirikiana kupeana ushauri