Recent content by taino

  1. taino

    Nawaonea wivu wale wote wenye wazazi wao wote wawili au mmoja

    Pole sana mpendwa, mungu akutie nguvu ,usonge mbele usiangalie nyuma
  2. taino

    Nafikiria kutembea na house girl

    Kweli nimeamini wanaume hawaridhiki, sasa usipomgonga huyo house girl unapungukiwa nn kwa mfano?,na ukimgonga unapata nini za maana,kama sio kunitafutia mibalaa tuu ndani ya ndoa yako, kweli binadamu tumezoea shida ,hapo asaiv unaamani na mkeo naona ushamiss matatizo ndo unawaza kumgonga house...
  3. taino

    Weekend story: Bad wives

    Duh Lara 1 we ni shida story nzur sna ,
  4. taino

    Weekend story: Bad wives

    Dah Lara we cio wa mchezo, nimecheka na kulia pamoja
  5. taino

    Je, nimuache huyu msichana?

    Kweli binadamu tumeumbiwa kusahau tulikotoka,roho imeniuma km Huyo Dada ndo Mimi.kweli mpenz wako anaumwa miguu anajiburuta kukupikia ,kukupokea upo tuu unamwangalia na bado unataka kumwacha, ni wazi kabisa humpendi kabisa huyo Dada bora umwache tuu kwa hiari tuu,Mungu atamsaidia atampata...
  6. taino

    Peniela (Story ya kijasusi)

    Asante lege kwa story nzuri Sana
  7. taino

    Peniela (Story ya kijasusi)

    Daah story nzur sana
  8. taino

    Jinsi ya kumlinda mumeo

    Dah umeongea point Sana, ubarikiwe
  9. taino

    Msaada wa Mtaji wa biashara 250,000

    Vp mamy ulishafanikiwa kupata huo mtaji?
Back
Top Bottom