Recent content by TAI DUME

  1. TAI DUME

    KERO NSSF wanakwaza wakati wa madai

    Wnadai hawakati salio lako linabaki palepale, japo hilo sijathibitisha kwakweli
  2. TAI DUME

    Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

    Ndo mana ake mkuu. Kibra ni mbwembwe, swala yapaswa kuelekezwa kwa Mungu sio kaburinoi
  3. TAI DUME

    Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

    Inapokelewa vizuri tuu, ila kuswali kuelekea kibra ni udhu tuu. Kibra ni mecca liliko kaburi la mtume. Jiulize kabla mtume hajafa wa hajazikwa waliswali kuelekea wapi?
  4. TAI DUME

    Hisia mbili zinazowatesa sana wanaume

    Acha kututamanisha wanaume, wengine tuna wake zetu home
  5. TAI DUME

    KERO NSSF wanakwaza wakati wa madai

    Kama gross salary ni laki moja. Then utalipwa 33,% ya lakimoja kwa miezi sita. Then utasubiria miezi 18 kama hujapata ajira nyingine unavuta mzigo wako wote
  6. TAI DUME

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    USA sio mwanachama wa ICC. by the way kila mtu ana mbabe au mnyonge wake.
  7. TAI DUME

    Mental health in African homes

    Jukwaa ni Kenyan news & politics. Mada ni mental health issue in Africa.
  8. TAI DUME

    Kama Yesu na Muhammad walikuwapo, kwanini wanazua ugomvi na utata?

    Wao wenyewe (Yesu na Moh'd) siku wakizaliwa watashangaa jinsi walivokuwa wanapakaziwa sifa ambazo sio zao. We subiri tuu.
  9. TAI DUME

    Tanzania tukiendeleza uchawa tutatawaliwa na Jeshi muda si mrefu

    Wateezee wametamani hilo litokee tangu mo29 lkn kwa kuwa jeshi ni mdebwedo wanebakinkuugulia mioyoni. Hukutaani jeshi lomedharauliwa sana kiujumla wake.
  10. TAI DUME

    Hivi utadharau vipo watu wako milion 59 na zaidi unapeleka game kwa watu hawazidi milioni

    Yeah. Ndio maelekezo yaliyopo kumbuka chama kimeamua ikulu ya tunguu zenji ndio itumike so lazima timu ya chama nayo ihamie huko kwa mpaka itakapopewa maelekezo menginewe.
  11. TAI DUME

    Children’s right to participate

    Hakuna haki ya kutoa maoni kwa mtoto mbele ya wakubwa. Mtoto ni mtu wa kuongozwa, kuelekezwa na kujibu maswali anayoulizwa tuu. Maoni akatoe mbele ya watoto wenzie, kwenye himaya yangu ni ndio mzee formula. Hatutaki kisasi kisicho na adabu sisi ala
  12. TAI DUME

    Zanzibar, sisi Yanga tunajaribu kuwaheshimisha nyie mnaeta dharau kwetu? Mlichofanya si Uzalendo

    Utopolo mnajipendekeza kwa watu ml 2 na kuwatelekeza watu ml 65. Jueni tu wazanzibar hawawapendi wabara na ndio mana hata kujaza uwanja kwenye mechi muhimu kama ya Jana wameshondwa
  13. TAI DUME

    Hongereni Yanga SC ya Rais Injinia Hesri Said kwa Kufuzu 16 bora CAFCL jana kule Zanzibar hakika mmeiheshimisha Nchi

    Hizo damu za watanganyika haziwwoni wahusika wakuu? Mbona zina act faster kwenye petty issues kama mpira wakati miuwaji inaendelea tu lupeta?
  14. TAI DUME

    Naibu Mwendesha Mashtaka wa ICC akutana na Thabit Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania

    Tena wamechagua picha ambayo jamaa yupo siriaz akiwa amevuavmieani kwa msisitizo uku Mr vandalism akiwa nauso wa uwoga
  15. TAI DUME

    Simba mtusamehe, hujuma zetu kwenu zimetuathiri sote

    Hata mm nimeamini kumbe kombe la mwakarobo na ranking sio lelemama
Back
Top Bottom