Inapokelewa vizuri tuu, ila kuswali kuelekea kibra ni udhu tuu. Kibra ni mecca liliko kaburi la mtume. Jiulize kabla mtume hajafa wa hajazikwa waliswali kuelekea wapi?
Kama gross salary ni laki moja. Then utalipwa 33,% ya lakimoja kwa miezi sita. Then utasubiria miezi 18 kama hujapata ajira nyingine unavuta mzigo wako wote
Wateezee wametamani hilo litokee tangu mo29 lkn kwa kuwa jeshi ni mdebwedo wanebakinkuugulia mioyoni. Hukutaani jeshi lomedharauliwa sana kiujumla wake.
Yeah. Ndio maelekezo yaliyopo kumbuka chama kimeamua ikulu ya tunguu zenji ndio itumike so lazima timu ya chama nayo ihamie huko kwa mpaka itakapopewa maelekezo menginewe.
Hakuna haki ya kutoa maoni kwa mtoto mbele ya wakubwa. Mtoto ni mtu wa kuongozwa, kuelekezwa na kujibu maswali anayoulizwa tuu. Maoni akatoe mbele ya watoto wenzie, kwenye himaya yangu ni ndio mzee formula. Hatutaki kisasi kisicho na adabu sisi ala
Utopolo mnajipendekeza kwa watu ml 2 na kuwatelekeza watu ml 65. Jueni tu wazanzibar hawawapendi wabara na ndio mana hata kujaza uwanja kwenye mechi muhimu kama ya Jana wameshondwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.