Recent content by TAI DUME

  1. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania LIVE Uchaguzi Zambia 2026: Matokeo kutoka majimbo 135 kati ya 226, Hichilema aendelea kuongoza

    Ilipigwa nyuma geuka, WA mbele akawa nyuma..
  2. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ushetu Health Center hutoza pesa wajawazito kwa ajili ya kliniki

    Mzee baba utazalisha watoto mapooza kwa kuogopa gharama. Siungi mkono hizo tozo za kliniki ila peleka mkeo kliniki. Wife niliacha kumpeleka clinic private ili kukwepa gharama. Mimba ya mwisho mwezi wa kwanza hosp ya gvt tuliacha elf90. Baada ya hapo ikawa kila mwezi sio chini ya 30k.
  3. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania PRESHA YA WAFANYAKAZI BAADA YA WEEKEND

    Kwa hiyo ww mtu kula tungi kila siku ndio climax ya maisha Bora. Uhalisia mtu mla tungi daily ni ana uraibu au stress za maisha.
  4. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Tuhuma za Tanzania kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Zambia sio za kweli ZIPUUZWE

    Eti ubalozi umeaiandikia serikali ya Zambia kuitaka ufafanuzi. Sasa serikali ya Zambia itajibu nini wakati tuhuma zimetolewa na chama Cha upinzani? Bora kukaa kimya tuu
  5. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Hiki kilio cha Pipytida ni kunyang'anywa simu na polisi tuu au Kuna kingine?

    Pipi tida? Polisi? Mauno? magari na majumba? Then Uzi closed!!! Do you expect many of us to understand huu Uzi?? Huko mjini mna mambo mengi sana sana ndio mana swala akili zenu zinaruka mda wote.
  6. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Wewe ni mbu*3 kama yule yule mfalme alioshangaa wananchi wake kwamba inakuwaje wanakufa njaa, kama hawana mkate kwanini wasile keki?!?!
  7. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Sema wana ushawishi na kutumika kwa Siasa za ccm na sio siasa za nchi. Hilo liko wazi, ndio mana wao kila kitu hewala hewala kwa ccm. Awamu hii hata waislam wengi sana wameidharau sana bakwata.
  8. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Ilishatabiliwa na nabii lema, "mkitumaliza sisi wapinzani mtaanza kumalizana wenyewe kwa wenyewe". Tulia mzee wa nonsense.
  9. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    "*£€¥|•`~£¥π^{} yhwt. HII NI AMRI YA KUKUONDOLEA KIFO CHA KANSA NA KANSA YAKO KWA UJUMLA. Utakufa miaka mingi mbele kwa KIFO kingine na sio Cha KANSA. Huna haja ya kunishukuru, enjoy your life.
  10. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Huwezi kukosa Cha kufanya. Nenda kajilipue na bomu kwenye geti la ikulu. Mchango wako utaonekana.
  11. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Undumilakuwili huu wa TEC na Kitime mpaka lini?

    TEC hawajawa wanafki. Walichomweleza rais ni kile kile walichokuwa wanaongea hadharani siku zote. Kilichobadilika ni approach tuu. Baada ya kuona chura kiziwi hasikii wakaamua kumfata kumfata pangoni mwake ili waongee naye kwa lugha ya ishara ili aelewe. Ni mbinu tuu ya kuendelea kufikisha ujumbe
  12. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    Basi hao wachawi na majini kama wanafanya hivyo kweli watakuwa hawana akili. Hii ni sawasawa na vile mtu amekuudhi then unamtukana kimya kimya bila yeye kujua kama unamtukana. Sasa hapo si unakuwa umejitukana mwenyewe?
  13. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Haya haters wa Jux kiko wapi?

    Hoja yako ni nini?
  14. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Tangu tumbini mwa mama ako unashauriwa kuzingatia mlo.
  15. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Mwaipopo kuruka hewani kuwakabili viongozi wa dini

    Ishu sio PhD mkuu. Kina malalsusa wa kkkt huko ni ma PhD holders lkn angalia walivo vyawa wengi wao. Suala hapa ni mifumo ya rc huwezi ichezea kwa interests zako tuu eti kisa wewe askofu.
Back
Top Bottom