Yule dokta specialist alipigwa sana na polisi alipofikishwa kituo Cha osterbay mpka kulazwa ICU. Ndio wakageuza kibao kwamba alipigwa na wananchi. Hakuna mwananchi atamuonea huruma polisi akipata majanga nchi hii labda awe ndg yake wa damu.
Kijana wa Ifoza hiyo ndio taswira halisi ya watanganyika. Huyo meena amelelewa na kukulia humu humu Tanganyika ambapo mimi na wewe tunaoprtion mbili tu, either kuwa muoga na kukimbiza ubawa ili uishi kwa salama, au kuwa chawa na kujitweza utu ili uonjeshwe kakeki ka taifa.
Sio habari tuu...
Hizo bendera imekuwa ni kama state mourning na ilhali marehemu hakuzikwa kitaifa. Huu msiba ulianza kifamili yapaswa uishe kifamilia. Na mama aende eda siku tisini kama kawaida.
Unaushabiki wa kindezi wakati hujui hata unachokishabikia. Huna hata basics info za unachokishabikia zaidi ya kuokoteza vijihabari vya kipuuzi ambayo unashindwa hata kuvichuja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.