Recent content by TAI DUME

  1. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

    Mkuu Naomba nikufate pm Nina jambo langu.
  2. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Ukiachana na wale ambao hawajamfurahisha atakuwa anajaza kontena fotefiti huyu
  3. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa aina hii, najitolea misumari kwenye ujenzi wa sanamu zenu…

    Yaani Hana pesa sio? Mana ndo nguvu za kiume hizo.
  4. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Usiniambie Yale majengo yanavyobomolewa ni tayari project za watu binafsi.?!
  5. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa Rais Samia Elimu ya Juu Walipa!

    Amejenga vyuo vikuu vingapi
  6. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Hata kama mnawapenda sana polisi nakemea kitendo cha wananchi kumshambulia mtu aliyekuwa akimpiga traffic police, wangemfikisha kituoni

    Yule dokta specialist alipigwa sana na polisi alipofikishwa kituo Cha osterbay mpka kulazwa ICU. Ndio wakageuza kibao kwamba alipigwa na wananchi. Hakuna mwananchi atamuonea huruma polisi akipata majanga nchi hii labda awe ndg yake wa damu.
  7. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Op-Ed: kulalamika kwa Neville Meena: Je, ni udhibiti wa dola au ni kufa kwa muhimili wa nne wa nchi?

    Kijana wa Ifoza hiyo ndio taswira halisi ya watanganyika. Huyo meena amelelewa na kukulia humu humu Tanganyika ambapo mimi na wewe tunaoprtion mbili tu, either kuwa muoga na kukimbiza ubawa ili uishi kwa salama, au kuwa chawa na kujitweza utu ili uonjeshwe kakeki ka taifa. Sio habari tuu...
  8. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Je, eda ya Samia kuzua mgogoro wa kikatiba?

    Hiyo press releases wameishaikataa kwamba sio halali. Naona wamepiga U-turn baada ya kuona hii itawaletea shida wakiitangaza
  9. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Viongozi wamfariji Rais Samia Kizimkazi

    Hizo bendera imekuwa ni kama state mourning na ilhali marehemu hakuzikwa kitaifa. Huu msiba ulianza kifamili yapaswa uishe kifamilia. Na mama aende eda siku tisini kama kawaida.
  10. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Asili Halisi ya Mwenge wa Uhuru: Siri Yafichuka

    Hii sio mpya, nilidhani ni version 2.
  11. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Chama atishia kuweka wazi mazungumzo yake na Eng, Hersi alivyomlazimisha kujiunga yanga

    Labda walitishia kumteka yeye na familia yake akaona isiwe shida
  12. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Wanadai eti aliishiwa nguvu, wakati hata ukimtazama tu alivyo ni kwamba hana nguvu kabisa, Ni vizuri Mzee akapumzika siasa sasa, inatosha.

    Lakini akili yake ni smart na ina nguvu kuliko vijana wote wa Lumumba. Hilo ndio la muhimu kwetu
  13. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Hakujawahi kutokea Taifa la Palestina duniani

    Unaushabiki wa kindezi wakati hujui hata unachokishabikia. Huna hata basics info za unachokishabikia zaidi ya kuokoteza vijihabari vya kipuuzi ambayo unashindwa hata kuvichuja.
  14. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Mkeo simpati, nataka kuja kuwasalimia watoto wangu. Tafadhari mwambie awalete kesho saa 3 asubuhi Matayo Hoteli

    Hapo kilichokupagawisha wewe ni Hilo neno hoteli.
  15. TAI DUME

    JamiiForums Tanzania Usiruhusu Shida Kuungana Dhidi Yako

    Sasa shida hii ya ccm tunaidhibit vipi
Back
Top Bottom