Mzee baba utazalisha watoto mapooza kwa kuogopa gharama. Siungi mkono hizo tozo za kliniki ila peleka mkeo kliniki.
Wife niliacha kumpeleka clinic private ili kukwepa gharama. Mimba ya mwisho mwezi wa kwanza hosp ya gvt tuliacha elf90. Baada ya hapo ikawa kila mwezi sio chini ya 30k.
Eti ubalozi umeaiandikia serikali ya Zambia kuitaka ufafanuzi. Sasa serikali ya Zambia itajibu nini wakati tuhuma zimetolewa na chama Cha upinzani? Bora kukaa kimya tuu
Pipi tida? Polisi? Mauno?
magari na majumba? Then Uzi closed!!! Do you expect many of us to understand huu Uzi??
Huko mjini mna mambo mengi sana sana ndio mana swala akili zenu zinaruka mda wote.
Sema wana ushawishi na kutumika kwa Siasa za ccm na sio siasa za nchi.
Hilo liko wazi, ndio mana wao kila kitu hewala hewala kwa ccm.
Awamu hii hata waislam wengi sana wameidharau sana bakwata.
"*£€¥|•`~£¥π^{} yhwt.
HII NI AMRI YA KUKUONDOLEA KIFO CHA KANSA NA KANSA YAKO KWA UJUMLA.
Utakufa miaka mingi mbele kwa KIFO kingine na sio Cha KANSA. Huna haja ya kunishukuru, enjoy your life.
TEC hawajawa wanafki. Walichomweleza rais ni kile kile walichokuwa wanaongea hadharani siku zote.
Kilichobadilika ni approach tuu. Baada ya kuona chura kiziwi hasikii wakaamua kumfata kumfata pangoni mwake ili waongee naye kwa lugha ya ishara ili aelewe.
Ni mbinu tuu ya kuendelea kufikisha ujumbe
Basi hao wachawi na majini kama wanafanya hivyo kweli watakuwa hawana akili.
Hii ni sawasawa na vile mtu amekuudhi then unamtukana kimya kimya bila yeye kujua kama unamtukana. Sasa hapo si unakuwa umejitukana mwenyewe?
Ishu sio PhD mkuu. Kina malalsusa wa kkkt huko ni ma PhD holders lkn angalia walivo vyawa wengi wao.
Suala hapa ni mifumo ya rc huwezi ichezea kwa interests zako tuu eti kisa wewe askofu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.