Recent content by tahan96

  1. tahan96

    Gambling and betting addiction

    Nina 7 years na bet. Najua itakua ngumu lakini tuna take baby steps naamimi nikimaliza huu mwezi kama ulivo sema basi itakua ni mwanzo mzuri.
  2. tahan96

    Gambling and betting addiction

    Nimepoteza a year’s worth of savings kwa ajili ya hii kitu, leo nime hakikisha nime futa mpaka banking apps zote ili nisifanye deposit yoyote. Ni kama naanza upya kila kitu.
  3. tahan96

    Gambling and betting addiction

    [emoji28] umeanza vizuri sana, anyways kama ni bahati nahisi mambo yangu makubwa maishani mwangu yame kuja kwa bahati bahati sana na huwa najihisi kama na bahati sana maishani. Asante kwa ushauri ndugu.
  4. tahan96

    Kubadili fedha za kigeni Arusha

    Kwa wakazi wa Arusha wapi naweza kubadili fedha za kigeni za Israel, ma benki ni changamoto.
  5. tahan96

    Republic Vs. Acp. Abdallah Zombe & 12 Others, Criminal Case No. 26 of 2006

    Fortunatus Buyobe anajua unaiba content yake bila ridhaa? Mpe credit yake ase!!
  6. tahan96

    Laki saba nimetumia siku tatu! Kuna nguvu za giza, sio bure!

    Ukisha jua tofauti ya “highland na island” ndo uje kuandika chai tena hapa.
  7. tahan96

    Wapi bora kuwekeza: Fixed rate, BOT Bond, UTT?

    Hii mada ya inflation huwa ndo kimbilio la watu wengi ku discourage watu kufanya investment kwenye bonds, mutual funds, fixed accs and the likes. Watu wamekaa miaka 7 hawajapandishiwa mishahara wamepambana na inflation na maisha yamesonga kwa mshahara same wa miaka 7. Inflation is part of the...
  8. tahan96

    Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

    Kabisa, the interview I did tuseme 50% ya waliopata wote ni fresh graduates maana mambo bado yako kichwani. Ni ngumu sana kwa graduate wa nyuma kidogo ku cope up na speed na requirements za written interview ya utumishi, ile ni vita!!
  9. tahan96

    Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

    Na hizo 5 questions ni zimeshiba[emoji28]. Hizi interview ni Mungu kwanza tu halafu ndo personal effort inafata[emoji28].
  10. tahan96

    Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

    Nadhani kujiamini na kujibu kwa ufasaha maswali ndo dhana kuu, na yote haya yanakuja kwa maandalizi bora kabla ya interview. Mara nyingi maswali ya oral hawaendi nje kabisa ya vitu flani basic vya course yako na vile vya job description kwa hiyo mostly wana try kupima kujiamini kwako...
  11. tahan96

    Utumishi wako fair

    Sijajua mkuu ni vyema kuomba Mungu tu mambo yakae sawa.
  12. tahan96

    Utumishi wako fair

    Sioni shida kuna majina kibao pale akachague analotaka ndio litakua langu.[emoji28]
  13. tahan96

    Utumishi wako fair

    Kulikua na usimamizi mbovu siku ya written, mtihani ulikua mrefu na dakika ni chache. Watu walikua kwenye formation zao mimi nilikaa mbali nazo nili andika what i know licha ya kila muda nilikua naona wenzangu wakiwa wana andika vitu vingi zaidi yangu na tofauti zaidi yangu so nili amini zaidi...
  14. tahan96

    Utumishi wako fair

    [emoji28]hakika
  15. tahan96

    Utumishi wako fair

    Soma post yangu tena.
Back
Top Bottom