Utumishi wako fair

Utumishi wako fair

My first interview na utumishi, my first job posting.

Ninachoweza kusema utumishi wako fair, I personally had no one to hold my hand nime fight mwenyewe mwanzo mwisho and here I am nime itwa kazini. Yes wana flaws za hapa na pale na pia maybe sometime watu wenye vimemo wana pita ila it shouldn't stop you/ us from trying time to time.

Muda wa Mungu ndio sahihi kila siku kila wakati basi amini ipo siku jina lako litakuepo pale kwenye website yao.

Baadhi humu wana nijua na tulikua nao kwenye usaili na hawaja fanikiwa kupata ila tuko pamoja naamini kuna milango mikubwa zaidi ya hii ina funguliwa mbele yako.
Hongera kwa kupata kazi.
 
Kwanza pole kwa kukashifu kazi za wengine kwani wa Halmashauri nae atakua kapata maisha ambayo labda wewe unaona ni upuuzi.

Pili pole kwa mindset yako. Nakuhurumia.

Tatu pole kwa kuku dissapoint ila nimepata kazi TANAPA.
Kwahiyo umeona umwambie ukweli wote
 
My first interview na utumishi, my first job posting.

Ninachoweza kusema utumishi wako fair, I personally had no one to hold my hand nime fight mwenyewe mwanzo mwisho and here I am nime itwa kazini. Yes wana flaws za hapa na pale na pia maybe sometime watu wenye vimemo wana pita ila it shouldn't stop you/ us from trying time to time.

Muda wa Mungu ndio sahihi kila siku kila wakati basi amini ipo siku jina lako litakuepo pale kwenye website yao.

Baadhi humu wana nijua na tulikua nao kwenye usaili na hawaja fanikiwa kupata ila tuko pamoja naamini kuna milango mikubwa zaidi ya hii ina funguliwa mbele yako.
Congrats
 
Naona unadharau kazi za watu ndugu.
-Mkuu sijadharau, kwa sababu mimi mwenyewe sio mwajiriwa, mimi ni machinga natembeza bidhaa mitaani
-Nimesema kwamba labda kapata kazi halmashauri kwa sababu kuna wadau humu waliwahi kusema eti ukipata kazi kirahisi bila kushikwa mkono basi ni kitengo kisicho na mshahara,
 
Back
Top Bottom