Ni
Nilienda New York, Marekani nikaishi mji mmoja unaitwa Mount Venon Ni mji Watanzania wengi wanaishi na wengine wanamiliki majumba. Siku moja nilitoka kwenda Manhattan ndio mji yalipo makao makuu ya UN. Mwenyeji wangu alinielekeza kituo cha treni na kituo cha kushukia huko Manhattan. Kifika...
Wapinzani WA Serikali usingizi hampati kwa kuwaza na kuiombea Serikali mabaya km nyie mwaishi nchi nyingine. Poleni Sana na wewe unaonekana sio mtumishi WA imma.
Tanesco Kisarawe Ni tatizo kubwa. Hawa watu hawajitumi kbs kwa hiyo hata wakifukizwa kwa dhulma inakuwa malipo kutokana na uzembe wao. Watu wanashindwa kuwaunganishia Umeme wateja waliolipia huduma kwa kipindi zaidi ya miezi sita. Wanachoangalia Ni rushes Tu. Hayo Ni malipo ya dhulma na uzembe wenu.
Hivi karibuni Tanesco kisarawe wamesambaza nguzo za umeme katika eneo la kwa Mbiki mtaa wa Zavala. Wakazi wa eneo hilo ambao walihamishwa kutoka Kigilagila takriban miaka saba iliyopita walipata na kuona mwanga umewafikia kwa kukosa huduma hito kwa muda mrefu. Cha kushangaza watu walijaza fomu...
TANESCO wakati wa kampeni DAR mpya iliyofanywa na RC Makonda mlitoa ahadi kuwa mtaleta umeme huko mtaa wa Zavala kata ya Buyuni by Mei 2017.
Leo Agost 2017 hakuna dalili isipokuws kwa watu wenye uwezo wa kujinunulia nguzo na kutoa cha juu. Je mlimuongopea RC Makonda siku ile ya mkutano
Wasanii hawana haki ya kisheria ya kupewa equal coverage ktk media. Hayo ni mambo ya kibiadhara na biashara ni ubunofu na ushindani ni sawa sawa kusema Bakhresa na Mo wapewe equal coverage wakati hoyo itategemea na pochi lao.
WEWE ULILENGA KUKASHIFU MAALBINO LAKINI SIO KWELI KWAMBA ULIKUWA HUJUI SABABU ZA MAALBINO KUTOKUWA MAASKARI POLISI AU JESHI. KAMA KWELI ULIKUWA HUJUI SABABU MUNGU AKUSAMEHE LAKINI KAMA ULILENGA KUWAKASHIFU MAALBINO OMBA MSAMAHA KWANI NA WEWE NI MLEMAVU MTARAJIWA.
HUJAFA HUJAUMBIKA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.