Aliyekuwa retired ni F117A nighthawk. F117N seahawk yupo mzigoni na F117B. Na tofauti ya hizo ni seahawk mziki wake ni mnene kuliko nighthawk, kuanzia ukubwa wa mashine ,usalama na mzigo inaoubeba.
A series mashine yake ni general electrical f404 na N series mashine yake ni gerenal electrical...
Mbona jamani mnaongeza gharamaF22 ni figher air to air na B2 ni ya kibwaga mabomu sasa hizo kazi ya hizo zinamalizwa na F117 ambayo inabeba lawaza zote kwanza ni fighter pili ni bomber na tatu ni attacker mzuri kwa hiyo kama wakuu wanayabwaga hakuna aliyesalama
Jamani hiyo S400 mwisho wake wa safari ni maili 250=km400 na F117 haionekani na rada yoyote mpaka sasa kwa hapa duniani na inauwezo wa kupiga ikiwa mbali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.