Sasa mpeleke mahakamani ili tujue kwamba kweli Kubenea ni Ndumilakuwili. Sio unakuja kupotezea muda humu. Sisiemu yote imeoza wenye akili ndiyo wanaelewa. Mazuzu tu kama wewe ndiyo yamebaki.
Kweli kabisa ndugu, halafu eti yana andamana mashamba wananyang'anywa mala ooh njaa imevikumba vijiji kadhaa, wanafunzi darasani wanakalia mawe lakini wanaabudu sisiem. Binadamu hawa ubongo wao sijui unanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.