Frediluu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 1,075
- 266
Sidhan kama ni vema kujidanganya na kujipa 100%100 kwa mtazamo hasi binafsi. Mbona hata nus mwaka bado achilia mbali machakato wa KATIBA??????????? MMMMMMMMMMMMMhivi wapinzani wana akili kweli au ni after money?
FISADI aliyetangazwa mwembe yanga kwa miaka 10 ndio mgombea wao
Fisadi aliyetemwa CCM ndio mgombea wao?
UPINZANI UMEKUFA tusubiri 2025