Recent content by tabu kuishi

  1. T

    JamiiForums Tanzania Wasifu: Naibu Katibu Mkuu Mpya wa CHADEMA

    Mchungaji peter msigwa apewa nafasi ya unaibu katibu mkuu na mbowe, piya mchungaji na mbunge wa karatu apewa umakamu mwenyekiti wa chadema, jee kuna siri yoyote eliyojificha kwenye huu uteuzi au imetokea tu nafasi zilikuwa zinashikiliwa na waislam kwenda kwa wachungaji? Au ni mkakati...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kwahili la zito chadema imechemka sana.

    Lazima tuangalie historia ya vyama haiwezikani mwenyekiti wa chadema akatoka kigoma ni ajabu, mwenyekiti ni lazima awe mchaga then familia ya mtei hiyo ndio familia yenye kipawa na uelewa mkubwa wa kuongoza chadema, mwenye chadema alisema mbowe ataendelea kuwa mwenyikiti na slaa agombee urais...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Mbowe huna sifa za kuwa mwenyekiti wa chama

    Mbowe shukuru mungu kuwa chadema ni mali ya mzee wako mtei, mbowe hana sifa ya kuwa mwenyekiti wa chadema. Hii nafasi umepata tu kwa kuwa unaishi na mtoto wa mzee mtei, kwa uwezo wako mdogo na utendaje mbovu kwenye baadhi ya vyama usingepata hata nafasi ya kuwa mkuu naibu katibu mkuu au naibu...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Said Arfi - Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ajiuzulu rasmi!

    Dalili ya mvua ni mawingu huyo arifi lazima akimbie kwani mbowe ana mtu wake tayari wakumpa hiyo nafasi, hiyo ni ngo ya mzee mtei na kijana wake mbowe utabaki kama wanakutaka, ukjifanya unahoji uchaguzi wa ndani, matumizi ya fedha za ruzuku ni lazima uwambiwe wewe ni msaliti...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Nani Naibu Katibu Mkuu CHADEMA mtarajiwa?

    Umesahau kuwa mnyika alishapewa hicho cheo toka mwaka 2010 slaa alipokuwa anagombea urais ofisi aliwachiwa mnyika kwakuwa ni mtu wa kilimanjaro, zito alikuwa ni title tu ila huyo mkilimanjaro ndio kila kitu, nasikia piya ni shushu wa mbowe
  6. T

    JamiiForums Tanzania Nani Naibu Katibu Mkuu CHADEMA mtarajiwa?

    Hapo ni lema au mnyika ngoma fity fity=mnyika mpare wa kilimanjaro=55 , lema meru wa arusha 45 , ila mnyika anabewbwa kidogo na mkoa aliyotoka ndio kwa kina mtei yule mwenye uwezo wakusema slaa gombea uraisi na mbowe awe mwenyekiti bila kufuata taratibu za...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Kwa hili Mbowe ndiye anayeiua CHADEMA kwa kuhofia uwezo mkubwa wa Zitto

    Mbowe kila anayetaka kugombea uwenyekiti utamfukuza?? Au kila aliye na uwezo juu yako utamfukuza kwenye hiyo ngo ya kasikazini? Sababu kubwa ya zito kufukuzwa ni nia yake yakugombea nafasi ya mbowe na mbowe anajuwa kuwa zito ni zaidi yake, hawezi kukupambana nae kwenye uchaguzi, siyo...
  8. T

    JamiiForums Tanzania La Zitto Kuvuliwa Nyadhifa CHADEMA: Mhe. Zitto, Please! Play It Cool!-Usijibizane Mitandaoni!.

    Mnyika ni mpare, na ndio maana alikuwa anawachiwa ofisi na katibu mkuu 2010, kwakuwa yeye ni wanyumbani KILIMANJARO, NDIO QUALIFICATION YAKE.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Mkuu mungi kwani na wewe ni wa kasikazini?? Chadema inawenyewe nawenyywe wachaga na badhi ya watu kutoka arusha, ambao wanatumika bila kijijuwa chadema mnapoteya sana, zito ni mara mia ya mbowe kwenye siasa mbowe ni mtoto kwa zito na ndio maana anatumia nguvu kubwa kumdhibiti...
  10. T

    JamiiForums Tanzania La Zitto Kuvuliwa Nyadhifa CHADEMA: Mhe. Zitto, Please! Play It Cool!-Usijibizane Mitandaoni!.

    HONGERENI WATU WA KASIKAZINI NA HIYO NGO YENU Ya MZEE MTEI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  11. T

    JamiiForums Tanzania SIMBA SOFTWARE for Bussiness Management

    please weka bei yake ni cheki kwa sms 0765616178
  12. T

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Soko zuri la MAHINDI

    Bei nzuri ni mwezi wa february or march mkuu vumilia kidogo hadi miezi ya december na kuendeleya utapata mara mbili ya bei ya sasa ila kama una shida sana unaweza uza nusu ya hao hapo manzese mengine hifazi kama upo dar nenda manzese darajani karibu na benki ya access kuna...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Kwa walio tayari kufanya kilimo cha mahindi, alizeti, mbazi na ufuta

    Wakuu napendekeza jmosi 22.06.2013 kikao chetu tufanyie MANZESE hapo ndio penye soko la mahindi eli tukimaliza tufanye simple suvery kwani maeneo hayo ndio centre ya wakulima na wafanya biashara ya mahindi wanapokutania, eli tuwenze upata infor nyingi kwa watu mbalimbali piya mkajionea watu...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Kwa walio tayari kufanya kilimo cha mahindi, alizeti, mbazi na ufuta

    Wakuu napendekeza jmosi 22.06.2013 kikao chetu tufanyie MANZESE hapo ndio penye soko la mahindi eli tukimaliza tufanye simple suvery kwani maeneo hayo ndio centre ya wakulima na wafanya biashara ya mahindi wanapokutania, eli tuwenze upata infor nyingi kwa watu mbalimbali piya...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Kwa walio tayari kufanya kilimo cha mahindi, alizeti, mbazi na ufuta

    Kwa walio tayari tukutane tarehe 22/06/2013 jmosi eli tuanzi kufanya vikao na kushauriana jinsi ya kufanya huo mradi ni vizuri tukafahamiana vizuri . Kwahiyo wadau pangini muda mzuri wa kukutana na venue itakuwa wapi ni vizuri venue ikawa sehemu ambayo inafikika kwa urahisi kwa wote...
Back
Top Bottom