Recent content by Ta Nanka

  1. T

    Sema hii ngoma Harmonize aliandika tuache masihara

    "Wote" ni bonge la ngoma, one of the best. Imagine angekuja kumuoa Feza.
  2. T

    Sema hii ngoma Harmonize aliandika tuache masihara

    Hata ingekuwa wewe, yule harmonize "wa malaika" we ungempitisha?
  3. T

    Ukiona hauwezi kurudia round ya pili ujue tatizo ni hili

    Wanaelewaga basi hao kina "baby wako"?
  4. T

    House4Sale Nyumba inauzwa Mlimwa C Dodoma

    Geti nimelipenda. Limetulia sana.
  5. T

    PreGE2025 Wasira: Lissu aje, tufanye Mdahalo halafu Watanzania waamue, adai CHADEMA kwasasa imekatika

    Anamtaka Lisu yeye kama nani? Aombe mjahalo na Heche!!
  6. T

    Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?

    Una nyota ya kichuri wewe, sio bure!!
  7. T

    Kama Taifa ni lazima tujiulize tunatengeneza kizazi cha aina gani? Uchawa unaimaliza nchi

    Nakazia. Uchawa sasa ni adui wa nne wa Taifa letu, baada ya ujinga, umaskini na maradhi!
  8. T

    Wasanii -Bongo movie siwaoni Energy Summit, tatizo lugha?

    Tivu ake aombe session.
  9. T

    Trump aiambia Russia ichague mazungumzo na Ukraine au vikwazo zaidi hadi ifilisike kabisa

    Hiyo tafsiri yako sijaikubali, kwamba "ridiculous war" ni "vita vya kejeli"?! Ningesema "vita ya kipuuzi"
  10. T

    PreGE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

    UVCCM si ni jumuia ya chama? Mkutano mkuu wa chama si umempitisha mama kuwa mgombea? Sasa UVCCM wanaandamana kumuunga mkono nani tena?
Back
Top Bottom