Recent content by T_Dangote

  1. T_Dangote

    Be careful

    Pombe sitanywea Nyumbani tena, Jana Nimenywea Nyumbani nikampa sim wife nikamwambia Save number kesho ntakupigia !!
  2. T_Dangote

    Serikali ya [emoji1241] inatuona Wananchi Wajinga kweli!!

    Uli kielewa alicho ongea #Mambosasa au Una comment ujinga
  3. T_Dangote

    Serikali ya [emoji1241] inatuona Wananchi Wajinga kweli!!

    Afande Mambosasa alitueleza kwamba gari iliyomteka @moodewji ni TOYOTA SURF (alituonesha zile CCTV zake), pia wahusika walikuwa watu kutoka South Africa, wazungu lakini, hapa aliyefikishwa mahakamani ni dereva TAXI halafu mswahili. Au ni mwakilishi wa wazungu? Kichwa kinauma sana
  4. T_Dangote

    Fact [emoji848]

    Kuna tofauti kubwa sana ya priorities ya vijana wa mjini (Dar) na wa mikoani. Vijana wa mikoani, wanaanza na viwanja, mashamba, nyumba, biashara. Mafanikio ya kijana wa sasa 1.iPhone 2. Macbook 3. Subaru/alteza/vitz/mark-x/IST 4.demu 5. Double room with flat screen and fridge
  5. T_Dangote

    ‘Hustle’ yako ya kwanza ulilipwa Shilingi ngapi?

    Congrats [emoji323][emoji898]
  6. T_Dangote

    ‘Hustle’ yako ya kwanza ulilipwa Shilingi ngapi?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. T_Dangote

    ‘Hustle’ yako ya kwanza ulilipwa Shilingi ngapi?

    So katika M 800 ukapat M50??
  8. T_Dangote

    Satan in my Head !

  9. T_Dangote

    ‘Hustle’ yako ya kwanza ulilipwa Shilingi ngapi?

    [emoji23][emoji23][emoji23] Hatari mzee haku shtukia??
Back
Top Bottom