Recent content by T999ZZZ

  1. T

    Natafuta Almasi

    ni pm namba yako kesho jioni ntakutafuta. Nitakuwa mwanza
  2. T

    Natafuta mtu mwenye iphne5s iliyokufa, nataka display

    samahani pia kwa kudandia. Mm natafuta kioo cha htc hd desire. Dukani vipo lkn havionyeshi.
  3. T

    Jinsi ya kuanzisha na kuendesha huduma za UWAKALA wa Ajira ( Employment and Recruitment agencies )

    habari jf? Kwa anaejua utaratibu wa kupata leseni na mambo yote msaada tafadhali
  4. T

    Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    masele ubunge wa kuchaguliwa kwa shinyanga asahau kabisa labda viti maalum.
  5. T

    Nimejiandikisha kupiga kura Serikari za mitaa

    mbona naona kama uwezekano wa kujiandikisha mara nyingi vituo tofaut upo? Au inakuaje?
  6. T

    Kikwete atakuwa USA kuanzia Alhamis ijayo

    huna akili pumbavu kabisa umekalia udini tu. Hebu taja muislam gani amependelewa hana vigezo? Unachuki zimekujaa mpaka unashindwa jizuia... Siwapendi sana watu kama nyinyi ndo mnarudisha nyuma maendeleo ya nchi.
  7. T

    Salamu za Eid Alhajj

    Neema hukuwa na bando muda wa salaam????? Au ndio ugeni????????? Aiiibuuuuuuuuu
  8. T

    Wapi naweza kupata bidha hii kwa wingi?

    We weka offer yako tuone.
  9. T

    Birika inauzwa bei poa sana

    Niletee kinondoni b kwa bei ya sh. 15,000
  10. T

    Wapi naweza kupata bidha hii kwa wingi?

    Pumba za mpunga zipi? Laini au ngumu?
  11. T

    Nitumie usafiri gani Dar es Salaam kwenda Mpanda

    Kama unabajet ya basi nakushauri Banda basi zza tabora utalala tabora asbh unapanda za mpanda by saa kumi upo mpanda. Mbeya sikushauri maana safari ndefu sana. Nb; jitahidi kufanya booking ya mpanda tabora mapema, hata nbs waambie wakufanyie hiyo booking hapa hapa dar... Maana huwa basi...
  12. T

    Mwanzo wa meditation

    Najaribu kufanya lkn mawazo siwezi kuyashinda
  13. T

    Mwanzo wa meditation

    Ntajuaje nimemaliza dkk 10????
  14. T

    Mwanzo wa meditation

    Welcome back.
  15. T

    Toyota cresta gx 100 curve 1 bei poa .

    4.5 tukutane tumalizane fasta
Back
Top Bottom