huna akili pumbavu kabisa umekalia udini tu. Hebu taja muislam gani amependelewa hana vigezo? Unachuki zimekujaa mpaka unashindwa jizuia... Siwapendi sana watu kama nyinyi ndo mnarudisha nyuma maendeleo ya nchi.
Kama unabajet ya basi nakushauri Banda basi zza tabora utalala tabora asbh unapanda za mpanda by saa kumi upo mpanda. Mbeya sikushauri maana safari ndefu sana.
Nb; jitahidi kufanya booking ya mpanda tabora mapema, hata nbs waambie wakufanyie hiyo booking hapa hapa dar... Maana huwa basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.