Nitumie usafiri gani Dar es Salaam kwenda Mpanda

Nitumie usafiri gani Dar es Salaam kwenda Mpanda

Upo wa bodaboda na baiskel za kukodi.
 
Tumia Ungo
kwani mpanda si ndio Rukwa na ndio Sumbawanga.
Kituo kipo pale Makaburi ya Kinoklein
 
Upo usafiri wa ndege ya auric air,basi kupitia mbeya au tqbora pia treni ipo
 
Bwana sadiki ongea Na Wapigwe Tu anajua siri ya usafiri wa kwenda jimboni. Kuna siku ushawahi kuona msafara wake ukielekea jimboni? kuna usafiri spesho ambao unatakiwa kuchagua kati ya Fisi na Ungo. kama unataka kupitia Madrid unabook Ungo. Ila kama unataka kupita njia ya kawaida ya barabara huna budi kufanya booking ya fisi wa leo usiku wa manane.
 
Subiri mtoto wa mkulima akienda kujiimarisha kimila ali agombee urais uombe lift.
 
Panda basi dar mbeya-sumbawanga-mpanda. Treni sio mambo utasafiri wiki nzima.
 
Panda basi dar mbeya-sumbawanga-mpanda. Treni sio mambo utasafiri wiki nzima.
Mkuu hii njia ni ndefu sana harafu tatizo lipo kutoka sumbawanga to mpanda barabara ni mbaya, unaanza safari mbeya saa 12 asubuhi mpanda mnaingia saa 5 usiku!! tena ukiwa hoi ile mbaya.bora atumie ya tabora tu ambayo ni kama masaa 6 tu.
 
Naweza kutumia usafiri gani makini toka Dar es Salaam kwenda Mpanda.



Kama unabajet ya basi nakushauri Banda basi zza tabora utalala tabora asbh unapanda za mpanda by saa kumi upo mpanda. Mbeya sikushauri maana safari ndefu sana.
Nb; jitahidi kufanya booking ya mpanda tabora mapema, hata nbs waambie wakufanyie hiyo booking hapa hapa dar... Maana huwa basi zinajaa wakati mwingine
 
Kuna jamaa yupo bungeni anawakilisha mwambie akupe ungo ni dk tu
 
Mkuu hii njia ni ndefu sana harafu tatizo lipo kutoka sumbawanga to mpanda barabara ni mbaya, unaanza safari mbeya saa 12 asubuhi mpanda mnaingia saa 5 usiku!! tena ukiwa hoi ile mbaya.bora atumie ya tabora tu ambayo ni kama masaa 6 tu.

panda ndege basi kaka kama hutaki shida ila uwe na hela
 
Panda NBS CLASSIC TOKA DAR MPAKA TBR KWA Sh 45000.ukifika tabora siku ya pili unapanda basi ya mpanda wastani wa kama elfu ishirin tu.......hapa ni moja kwa moja mpaka mpanda hii ndo short kati baada ya ndege
 
Back
Top Bottom