Inashangaza kuona ccm ikitetea kwa nguvu zote hawo wabunge mchongo ili hali Cuf walipowafukuza wabunge wao ccm hawakuonekana popote wakitetea, kweli CDM ni kiboko ya ccm.
Kiukweli Kama hili ni kweli Chadema wanasubiri nini kuchukua nchi kwa mtutu maana wameweza kupiga mtu katikati ya nchi na hawakukamatwa hatuna jeshi Sasa.
Ccm hawapendi kuambiwa ukweli maana nchi hii haijawahi tawaliwa na upinzani kila kitu kinachozungumziwa kinawahusu 100% Sasa wameona wajifiche kwa ku post yaliyo nje ya maada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.