UVCCM mbona hamchangii ripoti ya CAG?

UVCCM mbona hamchangii ripoti ya CAG?

Hakika inashangaza sana Kiona Vijana UVCCM wapo KIMYA KABISA juu yanayojiri katika RIPOTI ya CAG Aliyomkabidhi Mwenyekiti wa Ccm Na RAIS wa Tanzania.Nilitarajia kuwasikia VIJANA UVCCM wakiichambua kwa KINA RIPOTI hiyo na kutoa Maoni yao lakini Wapo Kimya kama Vile hakuna RIPOTI
Hao vilaza kazi wanayoweza ni kuchoma moto masoko tu.
 
Nachojua mwizi hawezi jisema mwenyewe maana Kama hawajaiba wao walioiba no ndugu za hao uvccm Sasa watachangia nini hapo.
 
Naona kila kitu wanamwachia mzee Warioba ndiyo akosoe sjui wazee wa hiki chama wako.wapi wengine.
 
Mkuu watasema nini wakati karibu 90% walikuwa waimba mapambio ya SHUJAA! Walisifu na kutukuza hata pale pasipofaa, walinanga wenye mawazo kinzani na walishangilia watu kufungwa na kuteswa. Walipiga propaganda juu ya miradi ya kifisadi ile ya chato airport, walikenua meno kuhusu GAWIO la taasisi kumbe zinapata hasara.
CAG kaja kuumbua UNAFIKI na uongo wao, watajadili nini?
point kabisa mkuu!
 
Back
Top Bottom