Kwanini baadhi ya wana CCM wanaamini Watanzania wanotaka Katiba Mpya Sasa wanapaswa kukamatwa na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria?

Wana CCM wengi wanaungana na Mhe. Rais kwamba Katiba Mpya inapswa kusubiri Hadi baada ya uchaguzi 2025. Wengi wanaamini mtu anayesema Katiba Mpya ni Sasa ni SAWA na wahalifu wanaopaswa kufungwa jela au kufanywa chochote kibaya.

Baadhi ya waumini wa msimamo huu ni viongozi wakuu na hivyo kuonekana siyo msimamo binafsi ni msimamo wa chama. Je,ni kosa kudai Katiba mpyasasa?
ccm ni mijizi
 
Mbona kipindi cha muenda zake wote walika kimya kwanini wanataka kumuonea Mama, hata miaka miwili bado
Mwendazake alikuwa muuaji, na maisha hayana spare hivyo wakati mwingine watuwana kaa kimya na kumuomba Mungu amchukue.
Na ukiona Mungu kasikia sala hizo napema basi ujue zilikuwa sala sahihi.
 
Wewe no mburura Kama mburura wenzako kwani katiba ni ya Mbowe au ya wananchi kaa chini fikirisha ujinga wako.
Kwan kamanda uchwara mbowe na chawa wake wamefikia wapi maana Mara ya mwisho kamanda uchwara mbowe nilimuona kwenye magazeti akijichekesha na raisi ikulu baada ya kutoka mahabusu keko sasa mpaka Leo naona kimya wewe ndie umenishitua kumbe kuna madai ya katiba mpya
 
Tunaogopa tutakuja kuondolewa madarakani kwa njia ya Kura.

Tukishaondolewa madarakani, vitega uchumi vyote vya Chama vitafanywa kuwa mali ya Umma na sisi tutapoteza kazi kwenye kusimamia shughuli/vitega uchumi vya Chama.
 
Wana CCM wengi wanaungana na Mhe. Rais kwamba Katiba Mpya inapswa kusubiri Hadi baada ya uchaguzi 2025. Wengi wanaamini mtu anayesema Katiba Mpya ni Sasa ni SAWA na wahalifu wanaopaswa kufungwa jela au kufanywa chochote kibaya.

Baadhi ya waumini wa msimamo huu ni viongozi wakuu na hivyo kuonekana siyo msimamo binafsi ni msimamo wa chama. Je,ni kosa kudai Katiba mpyasasa?
Ukiona mpo machimbo halafu jamaa anakataza usisogee ktk eneo lake juwa panautamu.Asante mi naondoka.
 
Kwan kamanda uchwara mbowe na chawa wake wamefikia wapi maana Mara ya mwisho kamanda uchwara mbowe nilimuona kwenye magazeti akijichekesha na raisi ikulu baada ya kutoka mahabusu keko sasa mpaka Leo naona kimya wewe ndie umenishitua kumbe kuna madai ya katiba mpya
Baki na ubwege wako kama huna hoja bora unyamaze
 
Dada Bite, Beatrice Kamugisha , kwanza naomba nikusahihishe, hakuna popote rais Samia amesema katiba mpya isuburi baada ya 2025. Alichosema ni kwa sasa tumpe muda ajenge kwanza nchi.

Pili mimi ni mwana CCM na tuko wana CCM kibao tunaounga katiba mpya.
Kitu tusichokubali ni kumshinikiza Mama Samia kuwa katiba mpya lazima sasa!.

Kama hoja ya Katiba mpya ilikuwepo kwenye ilani ya uchaguzi ya Magufuli, na akasema katiba sii kipaumbele chake, akaitosa na hakushinikizwa, kwa sasa katiba mpya haipo kwenye ilani ya Samia, kumshinikiza Mama Samia kuwa katiba mpya lazima sasa ni kumuonea!.

Tusimuonee Mama yetu!.
P
Kama ukimsikiliza vizuri ile siku alyopokea ripoti ya TCD alisema ‘wasimletee asiyoyapenda’
 
Wahi mirembe
Kula hiyo, mateka wa Mbowe wewe

IMG_20220424_220618.jpg
 
Niamini mimi, Mama anaileta katiba ila sio sasa, post 2025.
Hata JPM, Mungu asingemchukua, kwenda kumpangia majukumu makubwa zaidi kule mbinguni, alikuwa anakwenda kutuachia katiba mpya. Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.

P
Hayo ya 2025, imebidi awape moyo maana angesema ndani ya huu muula wake angejichimbia shimo ambalo hawezi toka... yote 9 ila lakumi ni kwamba ccm na katiba ni ardhi na mbingu haviwezi kukutana tatabaki kuskia miaka inatajwa ila hakuna kinachotendeka
 
Samia ni rais wa 6, ila anamalizia awamu ya 5 ya Magufuli, rais akifa, awamu yake inakuwa imekatiziwa hapo na awamu mpya ya 6 inaanzia hapo Kwa kumalizia awamu ya 5.
P
Yaani mbona unajikanyaga mzee. Kwamba Samia ni Rais wa 6 ila anamalizia awamu ya 5 ya Magufuli. Hapa maana yako tuko awamu ya 5 (tunamalizia). Halafu tena unakuja kusema Rais akifa, awamu yake inakatizwa hapo na tunaanza awamu nyingine, yaani awamu ya 5 ilikatizwa na ikaanzia hapo awamu ya 6.

Mzee tunyooshee tu, tujue tuko Awamu ya 5 au ya 6, vinginevyo kama uko kwenye dilemma, kaa kimya ili kazi iendelee.
 
Back
Top Bottom