Kwenye tiles pendelea sana kujali kazi smart kuliko bei ya ufundi
Unaweza kumpata fundi nafuu, lakini akakutengenezea tilles rejects kibao ukajikuta unaingiliwa kwenye kununua mabox mengi bila sababu.
Sidhani kama anaililia, ila biashara anazozifanya inaonekana inabidi asajiliwe,
Vat mziki wake sio mdogo kwa wafanyabiashara wadogo, inahitaji umakini na nidham sana
Kama hujasajiliwa vat kuna baadhi ya unaofanya nao biashara hawatakubali maana ni hasara.
Viwanda vingi kwa mfano vinategemea vat refund kwenye mahesabu yao, hawawezi kununua bidahaa kwq mtu asiyesajiliwa vat
Story anazokupa jamaa yako zina tally na uhalisia wa mafanikio yake?
Isije ikawa anakusimulia mafanikio yake kumbe ni mwizi kwenye mahesabu yake kazini, na wewe ukasoma usijue kama utatakiwa uwe mwizi kazini!
Hisa kutokuuzwa ni dalili kuwa kampuni husika inafanya vizuri kwenye boashara zake , wenye hisa wanaridhika na gawio!!
Ni kama vile hisa za sigara na tbl zinavyogombaniwa sokoni, adimu sana kumkuta mtu anauza hisa za Tcc au Tbl.
Ungekuwa na mtaji hapo ninpa kujenga lodge
8 mil jaribu labda huduma za pesa, japo ushindani ni mkubwa sana,
Unaweza pua kujaribu kamari al maarufu za dubu, mchina kwa sheria za sasa haruhusiwi tena kufanya biashara hiyo lakini bado watu wanacheza sana kamari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.