Recent content by t blj

  1. t blj

    MAFUNDI WA TI7LES SQR MTR 4000 OR LESS COME NBOX.

    Kwenye tiles pendelea sana kujali kazi smart kuliko bei ya ufundi Unaweza kumpata fundi nafuu, lakini akakutengenezea tilles rejects kibao ukajikuta unaingiliwa kwenye kununua mabox mengi bila sababu.
  2. t blj

    Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Sidhani kama anaililia, ila biashara anazozifanya inaonekana inabidi asajiliwe, Vat mziki wake sio mdogo kwa wafanyabiashara wadogo, inahitaji umakini na nidham sana
  3. t blj

    Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Hao waliomlipa ndo watamsumbua na hiyi vat siyo Tra Kumbuka unaposajiliwa vat, unakuwa wakala wa Tra kukusanya kodi
  4. t blj

    Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Kama hujasajiliwa vat kuna baadhi ya unaofanya nao biashara hawatakubali maana ni hasara. Viwanda vingi kwa mfano vinategemea vat refund kwenye mahesabu yao, hawawezi kununua bidahaa kwq mtu asiyesajiliwa vat
  5. t blj

    Mnataka huduma ya Fiber, changamkieni fursa hii

    Fiber bado ipo concentrated sana mijini, sijui kwa nini services providers hawagawani maeneo! Sisi wa kibamba na kiluvya hadi tufikiwe sio leo
  6. t blj

    Mshikaji niliyeajiriwa naye pamoja amenipa hasira sana wakuu

    Story anazokupa jamaa yako zina tally na uhalisia wa mafanikio yake? Isije ikawa anakusimulia mafanikio yake kumbe ni mwizi kwenye mahesabu yake kazini, na wewe ukasoma usijue kama utatakiwa uwe mwizi kazini!
  7. t blj

    Tetesi: Namna ambavyo anayesemekana kuwa Mtoto wa Rais Samia alivyompita Trafiki Polisi kwa dharau

    Hawajiongezi, kwa nchi za afrika expensive cars huwa zina conect moja kwa moja na watu wa utawala
  8. t blj

    TANZIA: MWILAMBA AFARIKI DUNIA

    tycoon wa kilimo cha mahindi huko ruvuma.
  9. t blj

    Je, unadhani biashara ya kufua nguo(laundry service) ni rahisi kuanza kwa mtu mwenye mtaji mdogo?

    Tafuta location ambayo ina watu bize kwenye shughuli za mchana, mathalan sehemu za viwandani, kwenye parking za malori au vituo vya mabasi
  10. t blj

    KERO Wiki ya pili hii tunashindwa kununua hisa za CRDB

    Hisa kutokuuzwa ni dalili kuwa kampuni husika inafanya vizuri kwenye boashara zake , wenye hisa wanaridhika na gawio!! Ni kama vile hisa za sigara na tbl zinavyogombaniwa sokoni, adimu sana kumkuta mtu anauza hisa za Tcc au Tbl.
  11. t blj

    Mtaji wa Milioni 8. Biashara gani italipa hapa Mbezi Luis/Magufuli?

    Ungekuwa na mtaji hapo ninpa kujenga lodge 8 mil jaribu labda huduma za pesa, japo ushindani ni mkubwa sana, Unaweza pua kujaribu kamari al maarufu za dubu, mchina kwa sheria za sasa haruhusiwi tena kufanya biashara hiyo lakini bado watu wanacheza sana kamari.
  12. t blj

    Wakala Morogoro avamiwa na kuporwa Milion 2 na vibaka

    Moro ni mkoa wenye matukio mengi sana ya majambazi
  13. t blj

    Sinotruck - HOWO (Horses) & CIMC Trailers for Sale

    Ni sawa ila kwangu naona kama hizi brand za kichina somehow zitakuwa zinacompromise ubora!! Man ameweka nini kwenye sitrack hadi bei ina double?
  14. t blj

    Dkt Nchimbi afika msibani kwa Job Ndugai ampa pole mke wa marehemu Dkt. Fatma Mganga

    Kwa staili hiyo mafao yote ya kiserikali yataenda kwa bi fatuma
Back
Top Bottom