Recent content by t blj

  1. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Muziki wa rnb unatoa jukwaa zuri kwa multi octave vocalist ku shine . Ni sababu ya maria Carey kuonekana Bora kwa sababu alikuwa anazitumia octave zone kwenye track moja Sikiliza wimbo wa 'when you believe ' Kuna dialogues anafanya na Whitney Houston , huku akitumia Sauti tofauti tofauti...
  2. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Yap! 8 octave ni yawisho ninayoijua sijawahi Sikia wa zaidi ya happ.
  3. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Kitaalamu wanaitwa multi octave artist, maria alikuwa no 5 octave , Vesta Willis alikuwa ni 4 octave Yup moja nimemsahau yeye alikuwa haimbi rnb Ila alikuwa na 8 octave
  4. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Ilitakiwa umsililize pia anita Baker au Vesta williams.
  5. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna msanii mwenye vocals kumzidi Mariah Carey?

    Maria Carey ni multi octave vocalist kwa RnB nadhan wapo kadhaa wenye uwezo huo akiwemo the late Vesta Williams Wapo pia wenye 8 octave Ila sio watu wa rnb At her best maria Carey alikuwa na uwezo wa kuomba Sauti tano tofauti tofauti. Ikiwemo. Ya kwanza na ya mwisho .
  6. t blj

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu TABOA; Watanzania Wajiandae Na Nauli Mpya

    Popote ulipo ukitaka basi la mkoa utalikuta mbezi maguful Ndio sababu inatabiriwa kuwa gharama za mtu wa kawaida zitaongezeka.
  7. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    For sure Hata hao wakoloninkipindi wanapanga dar hawakuweka stend moja Kisutu iliserve basi za kaskazin, mnazi mmoja ilihudumia basi za kusini, Mbagala basi za Mtwara Masasi na Tunduru Leo hii kuilazimisha basi za mikoa yote zihamie mbezi ni kama haitawezekana
  8. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Stend ilikuwa Ubungo na design ilitakiwa ifanywe pale pale Ubungo , wangejenga hata two storey building Haya yanayotokea leo yasingetokea Kukosea kwenye mipango ya serikali saa nyingine ni mipango maalum ya watu kujipigia pesa za serikali
  9. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Stend za mitaani hata majiji makubwa zipo Stend ya Magufuli haina miaka 10 toka ijengwe leo. Unasema ijengwe nyingine huyo alieyeplan miaka hiyo,hakufikiria kama location ya stend hiyo na ukubwa wake vilikuwa tatizo? Si bora wangejenga ghorofa pale Ubungo mbona ingetosha
  10. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Hivi unafahamu kuwa kuna stend ya Temeke na Mbagala? Kuna ukaguzi wa askari hizo stend? Kwa mantiki yako mabasi ya Lindi Mtwara Masasi na tunduru hayakaguliwi na ni mabovu.
  11. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kuna shida kwenye siasa , wewe amini hivo uamuzi wa kurudisha mabasi pale ni siasa na trust me utakwama Johannesburg pamoja na kuwa na stend kubwa ya park station bado kuna vistendi vingi vya mabasi hayo uchochoroni.na maisha yanasonga
  12. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Ubungo ni hub , pana mkusanyiko wa njia zaid ya nne pale
  13. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Ni lazima yakaguliwe Magufuli tuu? Mbona hata masamvu yanakaguliwa.
  14. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kwa mabasi yaliyopo Magufuli stand haiwezi kutosha Abood peke yake ana basi zaidi ya 100
  15. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Usiombe iwe na chassis rigid au mende kodi yake zinaeza kufika Mara tatu ya bei uliyonunulia. Tax structure malori zinaalika Sana maongezi ya rushwa ma mapfisa kodi
Back
Top Bottom