Recent content by t blj

  1. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    For sure Hata hao wakoloninkipindi wanapanga dar hawakuweka stend moja Kisutu iliserve basi za kaskazin, mnazi mmoja ilihudumia basi za kusini, Mbagala basi za Mtwara Masasi na Tunduru Leo hii kuilazimisha basi za mikoa yote zihamie mbezi ni kama haitawezekana
  2. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Stend ilikuwa Ubungo na design ilitakiwa ifanywe pale pale Ubungo , wangejenga hata two storey building Haya yanayotokea leo yasingetokea Kukosea kwenye mipango ya serikali saa nyingine ni mipango maalum ya watu kujipigia pesa za serikali
  3. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Stend za mitaani hata majiji makubwa zipo Stend ya Magufuli haina miaka 10 toka ijengwe leo. Unasema ijengwe nyingine huyo alieyeplan miaka hiyo,hakufikiria kama location ya stend hiyo na ukubwa wake vilikuwa tatizo? Si bora wangejenga ghorofa pale Ubungo mbona ingetosha
  4. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Hivi unafahamu kuwa kuna stend ya Temeke na Mbagala? Kuna ukaguzi wa askari hizo stend? Kwa mantiki yako mabasi ya Lindi Mtwara Masasi na tunduru hayakaguliwi na ni mabovu.
  5. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kuna shida kwenye siasa , wewe amini hivo uamuzi wa kurudisha mabasi pale ni siasa na trust me utakwama Johannesburg pamoja na kuwa na stend kubwa ya park station bado kuna vistendi vingi vya mabasi hayo uchochoroni.na maisha yanasonga
  6. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Ubungo ni hub , pana mkusanyiko wa njia zaid ya nne pale
  7. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Ni lazima yakaguliwe Magufuli tuu? Mbona hata masamvu yanakaguliwa.
  8. t blj

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Kwa mabasi yaliyopo Magufuli stand haiwezi kutosha Abood peke yake ana basi zaidi ya 100
  9. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Usiombe iwe na chassis rigid au mende kodi yake zinaeza kufika Mara tatu ya bei uliyonunulia. Tax structure malori zinaalika Sana maongezi ya rushwa ma mapfisa kodi
  10. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Kuna clearing agent aliniambia Kodi alizolipa jamaa kwenye ile irrizar moja ilikua 400 mil plus nikawa siamini Ila juz Kati nimeshuhudia control namba ya shilingi milion329 ,jamaa alikuwa analipia kodi ,G wagon ya mwaka 2025
  11. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Sio anajaribu jamaa anajua anafanya nini Katika biashara na mtaji pia anao Huku kwenye makaa juzi Kaleta Xt zina trela za Busta super doll na Alcoa Rims For records hakuna msafirishaji wa makaa ambaye anatumia trela za staili ya katarama maana sio za bei rahisi
  12. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Howo waachiwe newbies kwenye biashara Gari ya kichina sio cheap ,in the long run ni very expensive
  13. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Mbona ww unatumia gari mpya 2015!!! Nina scania 164 g ya mwaka 2001 kila siku ni kuhangaika ma milima ya ruvuma na sijawahi gusa engine 2.3mil km
  14. t blj

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    Angalau tunaongea lugha moja siku hizi mbeya hakuna ligi ya mbio za mabasi na hata hao Akina sauli na new force , hawjaiwahi kuvunja record yoyote ya kuwahi kufika mbeya Saudi ya manka ilijitahidi Sana making haijawahi kuvunja record K ulikuwa Kuna basi onaitwa Masia bus Tzj 3360 hii ilikiwa...
  15. t blj

    JamiiForums Tanzania Wapi Arusha naweza kupata shamba kwa bei ya milioni moja kwa ekari?

    Jamaa aende monduli au longido
Back
Top Bottom