Muziki wa rnb unatoa jukwaa zuri kwa multi octave vocalist ku shine .
Ni sababu ya maria Carey kuonekana Bora kwa sababu alikuwa anazitumia octave zone kwenye track moja
Sikiliza wimbo wa 'when you believe ' Kuna dialogues anafanya na Whitney Houston , huku akitumia Sauti tofauti tofauti...
Kitaalamu wanaitwa multi octave artist, maria alikuwa no 5 octave , Vesta Willis alikuwa ni 4 octave
Yup moja nimemsahau yeye alikuwa haimbi rnb Ila alikuwa na 8 octave
Maria Carey ni multi octave vocalist kwa RnB nadhan wapo kadhaa wenye uwezo huo akiwemo the late Vesta Williams
Wapo pia wenye 8 octave Ila sio watu wa rnb
At her best maria Carey alikuwa na uwezo wa kuomba Sauti tano tofauti tofauti. Ikiwemo. Ya kwanza na ya mwisho .
For sure
Hata hao wakoloninkipindi wanapanga dar hawakuweka stend moja
Kisutu iliserve basi za kaskazin, mnazi mmoja ilihudumia basi za kusini, Mbagala basi za Mtwara Masasi na Tunduru
Leo hii kuilazimisha basi za mikoa yote zihamie mbezi ni kama haitawezekana
Stend ilikuwa Ubungo na design ilitakiwa ifanywe pale pale Ubungo , wangejenga hata two storey building
Haya yanayotokea leo yasingetokea
Kukosea kwenye mipango ya serikali saa nyingine ni mipango maalum ya watu kujipigia pesa za serikali
Stend za mitaani hata majiji makubwa zipo
Stend ya Magufuli haina miaka 10 toka ijengwe leo. Unasema ijengwe nyingine huyo alieyeplan miaka hiyo,hakufikiria kama location ya stend hiyo na ukubwa wake vilikuwa tatizo?
Si bora wangejenga ghorofa pale Ubungo mbona ingetosha
Hivi unafahamu kuwa kuna stend ya Temeke na Mbagala? Kuna ukaguzi wa askari hizo stend?
Kwa mantiki yako mabasi ya Lindi Mtwara Masasi na tunduru hayakaguliwi na ni mabovu.
Kuna shida kwenye siasa , wewe amini hivo uamuzi wa kurudisha mabasi pale ni siasa na trust me utakwama
Johannesburg pamoja na kuwa na stend kubwa ya park station bado kuna vistendi vingi vya mabasi hayo uchochoroni.na maisha yanasonga
Usiombe iwe na chassis rigid au mende kodi yake zinaeza kufika Mara tatu ya bei uliyonunulia.
Tax structure malori zinaalika Sana maongezi ya rushwa ma mapfisa kodi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.