For sure
Hata hao wakoloninkipindi wanapanga dar hawakuweka stend moja
Kisutu iliserve basi za kaskazin, mnazi mmoja ilihudumia basi za kusini, Mbagala basi za Mtwara Masasi na Tunduru
Leo hii kuilazimisha basi za mikoa yote zihamie mbezi ni kama haitawezekana
Stend ilikuwa Ubungo na design ilitakiwa ifanywe pale pale Ubungo , wangejenga hata two storey building
Haya yanayotokea leo yasingetokea
Kukosea kwenye mipango ya serikali saa nyingine ni mipango maalum ya watu kujipigia pesa za serikali
Stend za mitaani hata majiji makubwa zipo
Stend ya Magufuli haina miaka 10 toka ijengwe leo. Unasema ijengwe nyingine huyo alieyeplan miaka hiyo,hakufikiria kama location ya stend hiyo na ukubwa wake vilikuwa tatizo?
Si bora wangejenga ghorofa pale Ubungo mbona ingetosha
Hivi unafahamu kuwa kuna stend ya Temeke na Mbagala? Kuna ukaguzi wa askari hizo stend?
Kwa mantiki yako mabasi ya Lindi Mtwara Masasi na tunduru hayakaguliwi na ni mabovu.
Kuna shida kwenye siasa , wewe amini hivo uamuzi wa kurudisha mabasi pale ni siasa na trust me utakwama
Johannesburg pamoja na kuwa na stend kubwa ya park station bado kuna vistendi vingi vya mabasi hayo uchochoroni.na maisha yanasonga
Usiombe iwe na chassis rigid au mende kodi yake zinaeza kufika Mara tatu ya bei uliyonunulia.
Tax structure malori zinaalika Sana maongezi ya rushwa ma mapfisa kodi
Kuna clearing agent aliniambia Kodi alizolipa jamaa kwenye ile irrizar moja ilikua 400 mil plus nikawa siamini
Ila juz Kati nimeshuhudia control namba ya shilingi milion329 ,jamaa alikuwa analipia kodi ,G wagon ya mwaka 2025
Sio anajaribu jamaa anajua anafanya nini Katika biashara na mtaji pia anao
Huku kwenye makaa juzi Kaleta Xt zina trela za Busta super doll na Alcoa Rims
For records hakuna msafirishaji wa makaa ambaye anatumia trela za staili ya katarama maana sio za bei rahisi
Angalau tunaongea lugha moja siku hizi mbeya hakuna ligi ya mbio za mabasi na hata hao Akina sauli na new force , hawjaiwahi kuvunja record yoyote ya kuwahi kufika mbeya
Saudi ya manka ilijitahidi Sana making haijawahi kuvunja record
K ulikuwa Kuna basi onaitwa Masia bus Tzj 3360 hii ilikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.