Recent content by t blj

  1. t blj

    Poleni sana ndugu zangu wa Dar es salaam kwa mvua zinazoendelea kunyesha

    Baada ya mvua hizi serikali ina kibarua kikubwa cha kukarabati miundombinu hasa barabara!. Bara bara ya dar mtwara kwa mfano
  2. t blj

    Unatumia muda mwingi na bando kubwa zaidi ya data kwenye platform ipi ya mtandao wa kijamii?

    1. YouTube Hiki ni kisima cha maarifa, nimstatua chamgamoto nyingi sana za kiufundi kupitia hii, 2. Quora Hii ni ya kujifunza maarifa, japo siku hizi inaniwia vigumu kutokana na macho kuanza kusumbua 3 Tik tok Hapa nikitaka ku refresh mind na ku punguza stress 4. Spotify, Shazam...
  3. t blj

    Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

    Hata Dubai wanahaha na kifurushi cha wiki hii!
  4. t blj

    Jirani kanikwaza sana kajenga fensi

    People are lonely because they build walls instead of bridges.
  5. t blj

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Sukari inayosababishwa na hitilafu ya kongosho siyo maarufu sana huku kwetu, (type 1) huwa inatokeaga tu kongosho haitoi insulin au ikazidisha insulin, type 1 diabetes sio lifestyle disease! Ni ugonjwa sana sana wa kurithi( genetic) Inayosumbua sasa Africa ni type 2 diabetes hii sasa ni...
  6. t blj

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Umeongelea upande mmoja ukaacha mwingine, ni kweli insulin inatumika ku regulate glucose, lakini inategemea wingi wa glucose, ulaji mbaya wa chakula husababisa glucose kuwa nyingi kuliko uwezo wa insulin, (insulin resistance,) na hapa ndo tatizo la sukari huanzia. Na ndio hiyo. Huitwa type 2...
  7. t blj

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Ogopa sana sukari ikishafikia kwenye kuleta ukhanithi!!! Mzigo unaona kabisa huu hapa!! Halafu chombo haisimami!!! yani kama hakuna kilichotokea 🙂 unaeza kulia!!
  8. t blj

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Sukari ina uhusiano mkubwa sana na upofu pamoja na urijali, Huwa inaua mishipa midogo ya damu na moja ya mishipa hiyo ni ilie inayosimamisha uume pamoja na macho
  9. t blj

    Afrika ndiyo kinara wa kufanya kazi ngumu lakini kisukari ni tishio je kazi ngumu sio mbadala wa mazoezi?

    Ukifanya mazoezini au kazi ngumu unaunguza au kutumia sukari nyingi kama energy. Ukiwa unakula tu na haufanyi mazoezini hii sukari inalundikana mwilini na ndo hiyo huleta ugonjwa Bush dokta kwa msaada ya gugo
  10. t blj

    John Dilinga Matlow, mrithi halali wa Gardner Habash

    Madhara ya uchawa!! Wanauliza maswali mepesi ili wapate huruma ya kuteuliwa na viongozi.
  11. t blj

    Kwanini kuku anavuka barabara?

    Kuna jamaa anatembea na kanga mjini na wanatii amri zake ikiwemo hiyo ya kuvuka barabara! Kanga walivyo wajanja lakini kwa jamaa hawafurukuti
  12. t blj

    Tasnia ya Habari na vifo vya mapema, nini kipo nyuma ya pazia?

    Pascal mayalla aliwahi kuelezea hii scenario ila aliizungumzia radio Tanzania ilivyopoteza watangazaji wengi,
  13. t blj

    Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport

    Sidhani kama bara wanataka huu muungano, Sema viongozi wa bara muungano kwao una faida
  14. t blj

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Sidhani kama anaweza fanya kosa la hivo, kisa kinaweza kuwa cha kweli ila wahusika na locations zinaweza kuwa twisted ili kulinda privacy.
Back
Top Bottom