Sukari inayosababishwa na hitilafu ya kongosho siyo maarufu sana huku kwetu, (type 1) huwa inatokeaga tu kongosho haitoi insulin au ikazidisha insulin, type 1 diabetes sio lifestyle disease! Ni ugonjwa sana sana wa kurithi( genetic)
Inayosumbua sasa Africa ni type 2 diabetes hii sasa ni...
Umeongelea upande mmoja ukaacha mwingine, ni kweli insulin inatumika ku regulate glucose, lakini inategemea wingi wa glucose, ulaji mbaya wa chakula husababisa glucose kuwa nyingi kuliko uwezo wa insulin, (insulin resistance,) na hapa ndo tatizo la sukari huanzia. Na ndio hiyo. Huitwa type 2...
Ogopa sana sukari ikishafikia kwenye kuleta ukhanithi!!!
Mzigo unaona kabisa huu hapa!! Halafu chombo haisimami!!! yani kama hakuna kilichotokea 🙂 unaeza kulia!!
Sukari ina uhusiano mkubwa sana na upofu pamoja na urijali,
Huwa inaua mishipa midogo ya damu na moja ya mishipa hiyo ni ilie inayosimamisha uume pamoja na macho
Ukifanya mazoezini au kazi ngumu unaunguza au kutumia sukari nyingi kama energy.
Ukiwa unakula tu na haufanyi mazoezini hii sukari inalundikana mwilini na ndo hiyo huleta ugonjwa
Bush dokta kwa msaada ya gugo
Norway alitoka 2019, muyajenge tu wakuu yanazungumzika haya!!
On a serous note nimependa sana ulivyonyooka kwenye maelezo. Ni wanawake wachache sana wana ushujaa kama wako
Na wewe ni muumini wa msemo wa wanawake wa mtwara? Wanamsemo wao "mwanaume muombee njaa mkalime vibarua" kwamba mwanaume akiwa na pesa haiwezi kutulia na mwanamke mmoja.
Kuingia na bajaji barabarani kunataka aina flani ya ukauzu na kujikataa bila kusikiliza maneno ya watu.
Kinachokwamisha wasomi wetu ni kuona aina fulani ya kazi ni kwa ajili ya waaliofeli tu, mfano hiyo ya bajaji
Hii ni thread ya tatu ndani ya wiki, ya mtu ana mitaji wa 10+ millions halafu...
50 ni predicted lifespan yetu waafrika kama. Unajishughulisha na shughuli za kutafuta rizki!, 60 ni bonus.
Hii ni Zaidi kwa wanaume wanawake kidogo wanaeza enda hadi 65
Kule mtwara wanawake wana msemo wao" mumeo muombee njaa mkalime vibarua mrudi nyumbani"
Wanamaanisha kuwa ukwasi kwa mwanaume na ndoa huwa havikai pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.