Hii miswada ya dharura inashusha hadhi ya Serikali sana, sijui kwa mini Wabunge wa CCM hawaelewi!
Miswada ya aina hii inaivua nguo Serikali kuwa inaongozwa na matukio, haina vipau mbele, na inakurupuka. Kwa hiyo wapunzani wakisema Serikali ya CCM imefeli kwa kila kiti, imechoka, au ni dhaifu...