Inafikirisha!
Lakini fahamu,siyo tendo la ndoa.
Hii ni kwa sababu Mungu alishawapa ruhusa kufanya tendo la ndoa (hata kama hapakutajwa)-Mwanzo2:21-24
Làkini haiwezi kuwa uzinzi pia kwa sababu walikuwa wawili pekee yao.
Uzinzi ni tendo la Mme au Mke alie katika ndoa kuchepuka.
Lakini ngoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.