Recent content by sysafiri

  1. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Hatimaye amewaangukia miguuni watu aliowaita Wavaa majoho!
  2. S

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje parachichi tunauziwa bei kubwa hivi?

    Sisi huku mpaka 3000/=
  3. S

    JamiiForums Tanzania Lissu: Poleni ila Amini Mahamba niko nae siku nzima kesho

    Bila shaka kuna Wacha Mungu ambao hawachoki kumwombea Lissu Afya njema na Uzima!
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ukanda pwani kuoa na kuacha ni kama kumsukuma mlevi. Yaani mwanamke anaachika nakuolewa hata mara tano, kwao kawaida sana

    Ndiyo maana walifukuzwa mapema mijini! Mfano,Wazaramo wamekimbilia Mwaneromango.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Wanyonge wa Iran( Waarabu ) hatimaye wapatiwa silaha za kujilinda dhidi ya Iran

    Bussiness as usual! Mimi nilifikiri US inazipa silaha bure kumbe anaziuzia? US ni mjanja sana!
  6. S

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Okay! Tunangoja.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tunda la katikati lilikuwa ni lipi?

    Inafikirisha! Lakini fahamu,siyo tendo la ndoa. Hii ni kwa sababu Mungu alishawapa ruhusa kufanya tendo la ndoa (hata kama hapakutajwa)-Mwanzo2:21-24 Làkini haiwezi kuwa uzinzi pia kwa sababu walikuwa wawili pekee yao. Uzinzi ni tendo la Mme au Mke alie katika ndoa kuchepuka. Lakini ngoja...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Ndugu Yangu Amekataa Kumrithisha Mke Wake Mali Amedai Sio Ndugu Yake wa Damu Amewarithisha Watoto Wao Amedai Ndio Ndugu zao wa Damu

    Yuko sahihi! Labda nachouliza,kama zile Mali walichuma Mme na Mke pamoja! Mmoja akifa inakuwaje hapo?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Hiyo ni Lissuphobia inayoitesa CCM! Safari hii hakuna Lowassa mwingine atakayetumika kuihujumu CDM!
  10. S

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Sisi tuliooa enzi za Mwalimu! Tunaona hizo 4-5m/= zinatosha kabisa.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini ikifika uchaguzi mkuu, kura zisipigwe kwa njia ya mtandao na kila mmoja akaona trend ya kura kwa kila mgombea

    Nadhani CCM hawawezi kulikubali hilo! Matokeo yanakuwa yameshapangwa.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Mkuu umemaliza! Sidhani kama kuna nyogeza tena.
Back
Top Bottom