Recent content by sysafiri

  1. S

    Kifo cha William Lukuvi na Jenista Muhagama. Ni fumbo kubwa linalotakiwa kufumbuliwa, Who is Next?

    Kila mtu ana la kusema! Hata hivyo umri wake ulikuwa umesogea. Ukifikisha 70, miaka inayofuata inakuwa dakika za majeruhi. Hata hivyo tukiona replacement yake ni mzenji tutafikiria mengine.
  2. S

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Vita vya Makonda wakati wa Magu sijui viliishia wapi!
  3. S

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Vita vya Makonda wakati wa Magu sijui viliishia wapi!
  4. S

    Tunaiomba Serikali yetu sikivu ya Samia Suluhu Hassan ianze kuitambua shahada ya Pili kimuundo na kimasilahi kwa walimu

    Kabisa! Mmetumika mno kuibeba serikali wakati wa Uchaguzi,sasa iwafikirie katika hili.
  5. S

    Iran yafanya Operesheni ya kijasusi ndani ya Israel na kumuua waziri

    Uwe unafuatilia media mbali mbali za kimataifa ili uwe na uhakakika wa kile unachopost hapa.
  6. S

    Dkt. Nchimbi: Watanzania, msiache kuiombea nchi

    Huo wimbo watu wameshauchoka!
  7. S

    Ni kwanini Iran imetia umakini kulipua raia wakati Marekani na Israel wanalenga zaidi silaha, viongozi, viwanda vya silaha, rada, meli za vita, n.k?

    Umezungumza kinyume chake! Siku ya kwanza tu makombora ya US na Israel yalipiga Shule na kuua wanafunzi karibia 200. Mpaka sasa hivi ni raia karibia 1300 wameuawa tangu Iran ishambuliwe! Iran kama wangekuwa wanalenga watu nchi za Ghuba zingepoteza watu wengi,lakini Iran inalenga Bases za US na...
  8. S

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Kwenye Pepo ipi? Maana kule hakuna dhambi itakayoingia kule,sasa huo wivu utatoka wapi? Labda kwenye Pepo ya Allah ambayo hakuna mtume wa Mungu ataingia kule!
  9. S

    Mwigulu: Majengo ya Mjerumani yapo, yenu tayari yana nyufa

    Anamlalamikia nani sasa?
Back
Top Bottom