Wenzetu Uganda wamewafanyia Rehabilitation,wamewafanyia medical check up,kuwafundisha uzalendo,harafu wamewawezesha kiuchumi kwa kuwapa cha kuanzia maisha!
Ingependeza kama na sisi Tanzania tungewafanyia Rehebilitation maana walio wengi ukiangalia afya zao na yale wanayosema ni kama wala ngada...
Ooh! Very sad!
Nawapongeza hao waliomuwahi wakamdaka kabla hajaanguka! Kama angepiga kichwa chini,kama Taifa tungekuwa tunazungumza mengine.
Nafikiri mzee apumzike siasa,yatosha kwa yale ambayo Mungu alimtuma kulionya Taifa letu.
Niseme tu damu ya Taifa hili haitatakwa mikononi mwake.
Mungu ni...
Naunga mkono hoja! Hata pa ku delete kama umekosea kuandika hapapo! Ukiandika, keyboard ya simu inakuzuia huoni unachoandika!
Irudisheni app ya zamani or otherwise ifanyieni modification hii mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.