Recent content by sysafiri

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kwa Sasa Hivi Ukila Mboga Kama Umekula Sumu.Ninashauri Serikali iingilie kati kwa undani zaidi kuhusu suala hili

    Mkuu hakuna pa kukimbilia! Wewe kabla ya kula mshukuru Mungu tu then assume nothing bad will happen.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Tembo yuko kwenye msiba! Kama na Tembo ameanza kuogopa Simba basi.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania Kuondoa Wahamiaji Haramu kama Wenzetu?

    Wale Wachina itakuwaje?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Je Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Serikali haina dini! Nadhani atapewa siku 14 za likizo ya dharura then atarudi kuendelea na majukumu yake.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Vurugu za Oct29 hazitokani na madai ya Katiba mpya. Tusichanyanye mambo hapa

    Una maslahi na Katiba hii mbovu.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mkimbize Mzee Warioba London achekiwe, thoroughly checkup ya afya yake. Achana na hospital za hapa watamfuata huko wahuni

    Wakumkimbiza London ni serikali ya hao hao Wahuni! Anafanyaje? Mungu ni Mwema atamrejeshea afya yake. Ingawa agewise ni kumwachia Mungu.
  7. S

    JamiiForums Tanzania NDUGU ZETU WALIO TOKA SAUZI

    Wenzetu Uganda wamewafanyia Rehabilitation,wamewafanyia medical check up,kuwafundisha uzalendo,harafu wamewawezesha kiuchumi kwa kuwapa cha kuanzia maisha! Ingependeza kama na sisi Tanzania tungewafanyia Rehebilitation maana walio wengi ukiangalia afya zao na yale wanayosema ni kama wala ngada...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Kula kwa urefu wa kamba yako!
  9. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Pole kwake! Kifo ni kifo kama walivyokufa wengine si kitu cha ajabu kwake kufiwa.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba aishiwa nguvu na kudondoka wakati anahutubia leo Septemba 7, 2026

    Ooh! Very sad! Nawapongeza hao waliomuwahi wakamdaka kabla hajaanguka! Kama angepiga kichwa chini,kama Taifa tungekuwa tunazungumza mengine. Nafikiri mzee apumzike siasa,yatosha kwa yale ambayo Mungu alimtuma kulionya Taifa letu. Niseme tu damu ya Taifa hili haitatakwa mikononi mwake. Mungu ni...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Serikali kutaka kuhamisha watu Temeke ili kupisha Bandari Kavu ni ukatili wa kiwango cha juu. Hii Serikali ni ya Kijamaa kweli?

    Basi japo mnyonge hana kitu lakinimje muwalipe fidia nzuri kabla ya kuchukua maeneo yao!
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mods Angalieni Uwezekano wa Kurudisha Application ya Zamani ya JF

    Naunga mkono hoja! Hata pa ku delete kama umekosea kuandika hapapo! Ukiandika, keyboard ya simu inakuzuia huoni unachoandika! Irudisheni app ya zamani or otherwise ifanyieni modification hii mpya.
Back
Top Bottom