Ni kweli kabisa! Asome haraka nyakati! Vinginevyo saa yo yote yanaweza kuwepo mabadiliko madogo ya ma RC!
Huwezi kupambana na Shetani ukiwa kwenye ngome yake!
Hilo ni jaribio lingine la kuiangusha na kuisambaratisha CHADEMA! Lakini CHADEMA itashinda.
Hapo wa kumwombea ni Heche tu ili asiyumbe! Wengine hata wakiondoka kwenye Chama naamini hakitaadhirika.
Wana harakati wapewe heshima! Wanaipelekesha na kuitesa Serikali kisaikolojia bila kutumia gharama yo yote zaidi ya kutumia mitandao ya kijamii! Harafu wanatengeneza.mamilioni ya followers kupiga hela.
Hiyo ni akili kubwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.