Dr.Ally Shein (mzaliwa wa Pemba) alikuwa Rais wa Zanzibar! Aliifanyia nini Pemba?
Alikuwepo Dr.Omar Juma (the late) alikuwa VP kwenye Serikali ya Muungano! Alikuwa Mpemba,aliifanyia nini Pemba?
Prof.Mbawala ni Mpemba-waziri wa mawasiliano na Uchukuzi JMT! Vipi naye?
Nadhani kwa lugha nyingine Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari,TPA inajitoa taratibu katika uendeshaji wa bandari zake! Kazi yake itabaki ni kusimamia uendeshaji wa Bandari,ndiyo maana inaitwa "Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari"!
Kilichobaki ni kukaribisha Wawekezaji watakaoendesha shughuli zake.
Hapa naona changamoto iko kwenye sheria!
Nadhani ni wakati muafaka kwa watunga sheria kuangalia namna gani ambavyo adhabu hii inaweza kupunguzwa angalau ikawa miaka 3!
Lakini hata hivyo Wananchi tuchangamkie vibali vya kuwinda,kuliko kuvunja sheria hizi kandamizi ambazo zinamgharimu mharifu...
Kwa utaratibu uliowekwa na Chama pendwa wa kumtukuza kwa mapambio na kumsujudu Rais! PM hamjamtendea haki Mama.
Yote aliyofanya JPM sifa zinapaswa kumwendea Mama!
Hata JPM yapo tuliyomsifu wakati aliyafanya JK mf.Daraja la Kigamboni,nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.