Recent content by sysafiri

  1. S

    CAG Kichere: Licha ya kupewa Ruzuku ya Tsh. Bilioni 31.55, ATCL imepata hasara ya Tsh. Bilioni 56.64, ongezeko la 61% kutoka hasara ya Mwaka 2021/22

    Kumbe watu wako serious! Wanaitendea haki kauri ya Mama,"Kila mtu ale kwa urefu wa kamba"! Hapo hakuna atakayechukuliwa hatua!
  2. S

    Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

    Yaani aendelee kupiga mpaka ujinga utakapowatoka!
  3. S

    Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

    Mimi nampongeza Mwamposa! Waumini ndiyo Wajinga siyo Buldozer!
  4. S

    Kwanini Padre hatoi sadaka kanisani?

    Nadhani anakatwa kwenye mshahara wake,PAYE!
  5. S

    KERO Pemba: Barabara zaidi ya 90% zimechakaa kwa kiwango kibaya sana

    Dr.Ally Shein (mzaliwa wa Pemba) alikuwa Rais wa Zanzibar! Aliifanyia nini Pemba? Alikuwepo Dr.Omar Juma (the late) alikuwa VP kwenye Serikali ya Muungano! Alikuwa Mpemba,aliifanyia nini Pemba? Prof.Mbawala ni Mpemba-waziri wa mawasiliano na Uchukuzi JMT! Vipi naye?
  6. S

    Ushauri: Nimemuacha mume wangu yeye hataki kumuacha mkewe

    Wanaume tuna kazi kweli kweli,yaani tukikosa hela tunasalitiwa!
  7. S

    Ushauri: Mke wangu anatembea na mfanyakazi mwenzie hadi kamzalisha

    Mkuu tulia kwanza! Usifanye papara,wala usipanic! Tunza hizo sms! subiri mkeo ajifungue.
  8. S

    Aliyemuelewa Mkurugenzi wa TPA, Plasduce Mbossa atusaidie kufafanua hili

    Nadhani kwa lugha nyingine Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari,TPA inajitoa taratibu katika uendeshaji wa bandari zake! Kazi yake itabaki ni kusimamia uendeshaji wa Bandari,ndiyo maana inaitwa "Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari"! Kilichobaki ni kukaribisha Wawekezaji watakaoendesha shughuli zake.
  9. S

    Jela miaka 20 kisa vipande 14 vya pofu

    Hapa naona changamoto iko kwenye sheria! Nadhani ni wakati muafaka kwa watunga sheria kuangalia namna gani ambavyo adhabu hii inaweza kupunguzwa angalau ikawa miaka 3! Lakini hata hivyo Wananchi tuchangamkie vibali vya kuwinda,kuliko kuvunja sheria hizi kandamizi ambazo zinamgharimu mharifu...
  10. S

    Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

    Nadhani hiyo ni programe ya TPA kuwaelimisha wafanyakazi wote wa bandari na maziwa yote kuhusiana na maswala ya Uwekezaji!
  11. S

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Mkuu fuga nguchiro harafu waruhusu waingie huo msituni! https://youtu.be/yRowC6t8tjA
  12. S

    Sikuwa najua kama Tanzania ina kabila la Wahima, Karagwe Kagera!

    Nadhani ni jamii ya Watusi au Wanyankole!
  13. S

    Paul Makonda Asema iwe Mwisho kwa wanaotaka kumuweka kando Hayati Dkt Magufuli katika mafanikio ya Rais Samia

    Kwa utaratibu uliowekwa na Chama pendwa wa kumtukuza kwa mapambio na kumsujudu Rais! PM hamjamtendea haki Mama. Yote aliyofanya JPM sifa zinapaswa kumwendea Mama! Hata JPM yapo tuliyomsifu wakati aliyafanya JK mf.Daraja la Kigamboni,nk
Back
Top Bottom