Recent content by sysafiri

  1. S

    Mwalimu ashikiliwa na Police kwa kuandika Facebook Lissu aachiwe

    Watanzania wanapita katika Kipindi kigumu ambacho hakina mfano! Tangu wakati wa Mwalimu.
  2. S

    Anthony Mtaka, Unasubiri Roho wa Bwana Akushukie Kukupa Taarifa "HUTAKIWI"?

    Ni kweli kabisa! Asome haraka nyakati! Vinginevyo saa yo yote yanaweza kuwepo mabadiliko madogo ya ma RC! Huwezi kupambana na Shetani ukiwa kwenye ngome yake!
  3. S

    Sijamwelewa Lema, anasema anasubiri maazimio ya Kamati Kuu, iwapo hayataeleweka atalazimika kujitetea binafsi.

    Mimi hapa namwombea Heche tu! Ni mkurya ambaye yuko stable. Hao wengine hata wakiondoka I believe CDM itabaki tu.
  4. S

    Wanawake ni wengi duniani ila kupata mke wakuoa! Utaumiza kichwa sana

    Sasa hivi wewe tafuta kuoa tu! Bikira walikuwepo enzi zetu za Mwalimu! Sasa hivi ni kama hakuna bikra.
  5. S

    Rais Samia: Wananchi hawahitaji vurugu wala mivutano ya kisiasa, wanahitaji amani, usalama na utulivu

    Akubali na huku JMT kuwe na Umoja wa Kitaifa! Nafasi ya PM,Wizara 5 Wapewe Upinzani.😊😊
  6. S

    Upuuzi mtupu, kwani fedha za Tone Tone ni ngapi mpaka machawa wawatoe kwenye reli. Chadema simama imara, msitoke kwenye malengo kwa rubbish hizo

    Hilo ni jaribio lingine la kuiangusha na kuisambaratisha CHADEMA! Lakini CHADEMA itashinda. Hapo wa kumwombea ni Heche tu ili asiyumbe! Wengine hata wakiondoka kwenye Chama naamini hakitaadhirika.
  7. S

    Hilda Newton: Nitaweka wazi majina ya wajumbe wa Kamati Kuu CHADEMA waliopewa pesa kulazimisha Maridhiano na kumshambulia Heche

    Kama wanachama wengi walikimbilia CHAUMA na CHADEMA ikabaki imara sina hakika kama kuna jaribio lingine litafanikiwa kuitikisa CHADEMA.
  8. S

    Kero: Michango ya Taaluma na Ujenzi Einoti Secondary, wanafunzi warudishwa nyumbani

    Yale huwa ni matamko ya kisiasa ya akina Ngulu! Lakini michango iko pale pale.
  9. S

    Naombeni msaada mimba ya 5 sasa inatoka

    Mwone bingwa Gynacologist ndiyo mjuzi wa mambo hayo!
  10. S

    Marekani yaishambulia Iran kijeshi na kuweka vikwazo vipya vya mafuta, hali yachafuka Mashariki ya Kati

    Iran inakosea! Ingeachana na baadhi ya madai! Huwezi kupambana na adui aliye mlangoni kwako.
  11. S

    Kwa hali hii, waandaaji wa Maandamano wameshinda kwa 100%

    Heri sisi tuliojua mapema kwamba hakutakuwako na maandamano! Tunaona ni siku ya mapumziko kama kawaida!
  12. S

    Rais Samia awajulia hali Pacome Zouzoua wa Yanga na Mlezi wa ACT Wazalendo, Sheikh Rashid Hamad Othman

    Akiweza awatembelee na wafiwa wa mauaji ya okt.29-1Nov.2025! Ataonekana wa maana sana!
  13. S

    Sigrada: Oktoba 29 inaniumiza sana, nailaani serikali. Hakukuwa na uchaguzi ni Uchafuzi

    Mnafiki! Yaani Bunge hilo hilo ambalo halikuchaguliwa kwa njia halali amekubali kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalum harafu analaani?
  14. S

    Muyinga: Watu wanajiita wanaharakati wanataka kulikomboa taifa wanalipwa na wazungu wanachochea tu, njooni

    Wana harakati wapewe heshima! Wanaipelekesha na kuitesa Serikali kisaikolojia bila kutumia gharama yo yote zaidi ya kutumia mitandao ya kijamii! Harafu wanatengeneza.mamilioni ya followers kupiga hela. Hiyo ni akili kubwa!
Back
Top Bottom