Recent content by sysafiri

  1. S

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Kila nchi tuliyoenda tuliambiwa kwanini Serikali haikuja mapema, tulidanganywa kuhusu matukio ya Oktoba 29

    Kama kawaida ya serikali ni kutudanganya wananchi! Tutangoja Marekani nayo kama itakubaliana na ujinga huo.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mafuta, mafuta, mafuta; Wiki ijayo EWURA wanakuja na bei mpya

    Wakenya wakisoma mada kama hizi huwa wanatuhurumia!
  3. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Hajawahi Kuuwa Mtu Wala Kutoa Maagizo ya Kuuwa Mtu Yeyote yule

    Unataka kusema amekaa Ikulu kama Mama wa Nyumbani siyo Amiri Mkuu wa Majeshi? Kwa sasa baada ya Mauaji yale ya Halaiki,utetezi wo wote hauwezi kumsaidia!
  4. S

    JamiiForums Tanzania Tuwape maneno ya faraja na kuwatia moyo wanaume wenzetu wanaopigwa na wake zao huku wakiuchuna kana kwamba hawapigwi

    Mwisho tutasikia hata Wakurya wakipigwa na wake zao! Baya zaidi hakuna hata "Fathers Day" siku ambayo wababa wangeandamana kueleza concern zao!
  5. S

    JamiiForums Tanzania Wimbi la ‘single mothers’, wa kulaumiwa zaidi ni Wazazi na Serikali

    Hilo ni janga la dunia! Siyo Tanzania tu. Ni karibia nchi maskini zote duniani.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Baada ya Rekodi kuvunjwa, CCM yadai CHADEMA ilisomba watu kutoka Singida, Mpwapwa na Iringa

    CCM imeishiwa Pumzi! Haiwezi kuhimili vishindo vya CDM.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tuwatie moyo askari, tusiwatweze na kuwaumiza wamejitoa maisha yao

    Wanalinda amani ya CCM siyo ya Wananchi! Kama watu wanatekwa,wanapotezwa,tunawatia moyo kwa lipi?
  8. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, chagua Moja kukumbatia wasaliti au Wananchi!

    Wakiungama dhambi zao wapokeeni! Kama Dr.Slaa aliungama akapokelewa sembuse hao?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Lucas Mwashambwa amedhihirisha haijui Tanzania

    Ukitafakari sana ni kama anavyoviandika humu JF ni kama anaandikiwa na mtu mwingine! Yeye kazi yake ni ku copy na ku paste.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kuna nini kinaendelea CCM?

    Harafu huyo Mama wamwache akapumzike umri uneenda. Anyway tunangoja Ufalme ufitinike tu.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mafao wanayopata wenza wa viongozi wakuu wastaafu Tanzania ni kufuru

    Nikiangalia huku mitaani Wajane,Wazee,Yatima wanavyopata shida. Basi tu.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Neno langu kwa wasaliti wote wanaorejea CHADEMA: Karibuni nyumbani, ila....

    Uko sahihi!
  13. S

    JamiiForums Tanzania SONGEA: Watu ambao hawajatambulika wawashambulia kwa mapanga viongozi na wafuasi wa CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara

    CCM imeishiwa Pumzi ya kushindana na CDM!
Back
Top Bottom