Kila mtu ana la kusema! Hata hivyo umri wake ulikuwa umesogea.
Ukifikisha 70, miaka inayofuata inakuwa dakika za majeruhi.
Hata hivyo tukiona replacement yake ni mzenji tutafikiria mengine.
Umezungumza kinyume chake! Siku ya kwanza tu makombora ya US na Israel yalipiga Shule na kuua wanafunzi karibia 200.
Mpaka sasa hivi ni raia karibia 1300 wameuawa tangu Iran ishambuliwe!
Iran kama wangekuwa wanalenga watu nchi za Ghuba zingepoteza watu wengi,lakini Iran inalenga Bases za US na...
Kwenye Pepo ipi?
Maana kule hakuna dhambi itakayoingia kule,sasa huo wivu utatoka wapi?
Labda kwenye Pepo ya Allah ambayo hakuna mtume wa Mungu ataingia kule!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.