Recent content by symwo

  1. symwo

    Kujiajiri kwa kutumia mtandao

    Wazo zuri mkuu,shukrani
  2. symwo

    Kujiajiri kwa kutumia mtandao

    Habari zenu jamani,poleni na majukumu yenu ya kila siku. Wadau naomba msaada kujua ni jinsi gani mtu anaweza kujiajiri kwa kutumia mtandao mfano INSTAGRAM.Ni biashara gani mtu anaweza ifanya instagram isiyo hitaji mtaji wa kuianzisha na akajipatia kipato?
  3. symwo

    Hivi kuna dawa ya kuacha ushoga?

    Habari zenu humu ndani jamani. Ningeomba mnisaidie kujua kama kuna dawa ya kuacha ushoga au namna ambayo mtu anayefanya ushoga anaweza akasaidiwa kuacha. Nina mdogo wangu wa kiume ana miaka 28 sasa, elimu yake ni degree. Alishafanya kazi sehemu lakini kwa sasa hana kazi(anatafuta). Hivi...
  4. symwo

    NSSF, e-mail yenu ina tatizo

    umerudi kucheki kwenye email zako?kama haijarudi?maana mm nikituma zinaenda ila baada ya muda napata email kuwa hawajaweza kudeliver email yangu
  5. symwo

    NSSF, e-mail yenu ina tatizo

    umerudi kucheki kwenye email zako?kama haijarudi?maana mm nikituma zinaenda ila baada ya muda napata email kuwa hawajaweza kudeliver email yangu
  6. symwo

    NSSF, e-mail yenu ina tatizo

    Wanachezea akili zetu hawa,wametangaza kazi recently ila email address(dhra@nssf.or.tz) yao kila ukituma maombi inarudisha majibu kwamba imefeli na wametoa condition ya kuappy kwa email tu,isije ikawa kazi mshapeana mnatuzuga tu......
  7. symwo

    Hawa si matapeli hawa

    pole,i hope hujaenda hahaha,maana ningeshakusikia kwenye vyombo vya habari,jinsi ulivyokabwa
  8. symwo

    Hawa si matapeli hawa

    uwiiii usithubutu,mimi mwenyewe walianza kwa gia ya pesa kama nilivoandika hapo juu walivyoona nimewashtukia wakasema ni bure,utakabwa ndugu yangu
  9. symwo

    Hawa si matapeli hawa

    Halafu sms yenyewe wameituma saa tano na nusu usiku,hawa nimatapeli ambao either hawajaenda shule,au hawana ujuzi,ni kampuni gani inakutumia msg ya kazi usiku.....
  10. symwo

    Hawa si matapeli hawa

    Niliomba kazi mbili tofauti ZOOM kampuni moja inaitwa TIRD jingine TANZANIA LABOUR FOUNDATION COMPANY,cha kushangaza namba ya simu moja imenitumia msg tofauti eti naitwa kwenye interview kwa kazi mbili tofauti tena makampuni mawili tofauti jana walinitumia msg " Habari, Kesho tarehe 27/08/2015...
  11. symwo

    U.s. Grains council

    Wadau nimealikwa kwenye training katika shirika hilo hapo juu South Africa,kuna ambae analifahamu kiundani
  12. symwo

    TRA wameita watu kwenye usaili

    Mimi pia nimepigiwa simu ila nimeambiwa niende tarehe 12 saa nane mchana na picha naona watu wameambiwa mbili ila mm nimeambiwa tatu,mara ya kwanza alinipigia akanambia niangalie email wamenitumia email ya kuitwa kwenye interview,nikaangalia sikuikuta nikampigia tena bahati nzuri alipokea...
  13. symwo

    Nimeota nambusu mpenzi wangu wa zamani aliyefariki

    Jamani nimeota nambusu Ex wangu ambae alikufa ila alikufa wakati tukiwa tumeachana tayari, alipata ajali wakati anakimbizwa hospitali akafia njiani miaka mingi kidogo ila cha kushangaza eti leo nimeota nimeingia chumbani sijui wapi nikamkuta anapiga pasi nikafurahi kweli nikambusu mdomoni mara...
  14. symwo

    Esma Platnam na Petit Man

    Wema ana mafanikio gani?
  15. symwo

    NHIF wameshaitwa tiyari

    Jamani kwa wale wadau waliokuwa wanasubiri kuitwa kazini NHIF, watu wameshaitwa tayari na orientation wanaanza jumanne, kwa wale waliopata kazi hongereni na kwa wale waliokosa msikate tamaa till next year.
Back
Top Bottom