Recent content by syika roby

  1. syika roby

    JamiiForums Tanzania Wimbo mkali kuliko zote katika Bongo Fleva...

    daa mi ngoma nayoisikiliza mpaka sasa Mara nyingi ... ni elimu mtaani by dee nob hatari sana
  2. syika roby

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutongoza mabinti wadogo

    Write your reply...haaahaaa hiyo biashara ngumu sana ,ikanibidi nijifunze kudanganya tena uongo mkuubwaa
  3. syika roby

    JamiiForums Tanzania Ogopa kuingia kwenye ndoa na mwanamke ambaye haujawahi kukutana naye kimwili (kufanya mapenzi)

    ulitaka yy aolewe na nani,Mungu kakupa haaa haaaaaa poleee
  4. syika roby

    JamiiForums Tanzania Hii Kasumba iliyozuka dhidhi ya wanawake wazuri ina ukweli?

    huenda kuna ukweli ndani yake lakini pia wakati mwingine mwanaume ukiwa na demu mkali inafika point unakuwa hujiamini amini hivi ko hata asipopokea simu unaanza kuwaza na kupata taaabuu!!!! Ila ukitaka kuishi kwa amani na binti mzuri basi awe amekupenda mwenyewe na sio wewe ndo unajiliza liza...
  5. syika roby

    JamiiForums Tanzania Je, ni chuo gani kizuri cha masuala ya uhandisi (Engineering) na teknolojia (Technology) Tanzania?

    kukaa na kusifia chuo Fulani in bora kuliko kingine ilihali wewe uliyesoma hicho chuo unalialia tu na huna uwezo ni umburura. ubora wa chuo unategemea vitu vingi + ubora wa wanafunzi uliowadahili. lakini siku ya siku hii product uliotoa inaenda kukabiliana vipi na changamoto zilizopo katika...
  6. syika roby

    JamiiForums Tanzania UBORA WA VYUO VYA UMMA Vs VYA BINAFSI

    mi nadhani wanakuwa na mambo yao tu cuz just imagine hata sirikali kuhamia dodomiya imefanyika but mpk sasa bado hawajajitosheleza,hata udom wakati inaanza ilikuwa haijajitosheleza hata sasa bado haijasimama 100% ,nadhani hanaenda kisiasa tu,
Back
Top Bottom