UBORA WA VYUO VYA UMMA Vs VYA BINAFSI

UBORA WA VYUO VYA UMMA Vs VYA BINAFSI

mbinguni

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
2,767
Reaction score
1,068
Hivi karibuni kumekuwa na fungia fungia ya vyuo vikuuu vya binafsi kwa kasi ya ajabu. Ina maana hakuna vyuo vya umma visivyokidhi vigezo,kanuni ,sheria na taratibu za uendeshaji? Tuwe wakweli ktk mjadala huu kwani unagusa moja kwa moja mustakabali wa maisha ya taifa ktk nyanja zote. Tusiweke ushabiki. Karibuni
 
Muda nikafanya tafiti ndogo hapa mtaani kwangu. nikagundua mtaa una 'Bar' na 'Grocery' kumi na saba. ni eneo la mraba si zaidi ya 900. Huko Mbeya rafiki yangu mwingine alifanya tafiti ndogo akagundua kata moja ina kanisa 67. Watu wengine wanawekeza kwenye klabu za mpira fedha nyingi tu. Vile vile nishuhudia mtu anageuza seburi ya nyumba yake kuwa "Nursery School' na sasa anamiliki shule kubwa!!!.Dhamira hushinda kheri.
Wachangiaji wengine watakuja na takwimi rasmi. Hapa nina mambo matatu ambayo ningependa kuchangiana na wengine. Moja, Je? tunapotaka kuendeleza elimu, Ujuzi au Ufundi na Taaluma, tunafikiri kuanzia na vyuo vilivyojitosheleza katika kila hali kwa hali yetu ya uchumi walionayo watu wetu?. Mbili, Hivi? Serikali inapokuwa inafanya ukaguzi inakuwa na lengo la kuboresha au kwenda kutafuta makosa ili ifungie uwekezaji wa watu wetu katika maeneo niliyotaja hapo.Tatu na mwisho, hawa watu wanaojitoa kuwekeza katika maeneo haya ya Elimu, Ujuzi au Ufundi na Taaluma kuna tahadhari yoyote tanazopasa kuwachukulia tofauti na uwekezaji mwingine?
 
vyuo vip vyenye matatizo vya umma hasa vyuo, vya kati, ila baba mwenyenyumba awezi kujikosaaa mwenyewe.
 
mi nadhani wanakuwa na mambo yao tu cuz just imagine hata sirikali kuhamia dodomiya imefanyika but mpk sasa bado hawajajitosheleza,hata udom wakati inaanza ilikuwa haijajitosheleza hata sasa bado haijasimama 100% ,nadhani hanaenda kisiasa tu,
 
ni mambo tu siasa cos wameona wao huku juu wamewekeza vizur lkn wakisema waje wafungue shure za sec ni zitafungwa nying za gvt
 
Muda nikafanya tafiti ndogo hapa mtaani kwangu. nikagundua mtaa una 'Bar' na 'Grocery' kumi na saba. ni eneo la mraba si zaidi ya 900. Huko Mbeya rafiki yangu mwingine alifanya tafiti ndogo akagundua kata moja ina kanisa 67. Watu wengine wanawekeza kwenye klabu za mpira fedha nyingi tu. Vile vile nishuhudia mtu anageuza seburi ya nyumba yake kuwa "Nursery School' na sasa anamiliki shule kubwa!!!.Dhamira hushinda kheri.
Wachangiaji wengine watakuja na takwimi rasmi. Hapa nina mambo matatu ambayo ningependa kuchangiana na wengine. Moja, Je? tunapotaka kuendeleza elimu, Ujuzi au Ufundi na Taaluma, tunafikiri kuanzia na vyuo vilivyojitosheleza katika kila hali kwa hali yetu ya uchumi walionayo watu wetu?. Mbili, Hivi? Serikali inapokuwa inafanya ukaguzi inakuwa na lengo la kuboresha au kwenda kutafuta makosa ili ifungie uwekezaji wa watu wetu katika maeneo niliyotaja hapo.Tatu na mwisho, hawa watu wanaojitoa kuwekeza katika maeneo haya ya Elimu, Ujuzi au Ufundi na Taaluma kuna tahadhari yoyote tanazopasa kuwachukulia tofauti na uwekezaji mwingine?
Nadhani TCU siyo taasisi ya umaa iliyo huru. Inafanya kazi kwa mujibu wa maelekezo ya wana siasa. Nadhani kingeundwa chombo huru cha ukaguzi wa masuala ya Elimu kwa ajili ya kuweka viwango vinavyokubalika kitaifa na kimataifa, ingesaidia sana.
Ukijaribu kufanya observation ndogo tu ya baadhi ya vyuo vikuu maarufu vya umma kwenye products wanazoleta sokoni,hazina ubora unaokubalika kimataifa zaidi ya ubabaishaji mwingi na uharibifu wa mali nyingi za umma.
 
Muda nikafanya tafiti ndogo hapa mtaani kwangu. nikagundua mtaa una 'Bar' na 'Grocery' kumi na saba. ni eneo la mraba si zaidi ya 900. Huko Mbeya rafiki yangu mwingine alifanya tafiti ndogo akagundua kata moja ina kanisa 67. Watu wengine wanawekeza kwenye klabu za mpira fedha nyingi tu. Vile vile nishuhudia mtu anageuza seburi ya nyumba yake kuwa "Nursery School' na sasa anamiliki shule kubwa!!!.Dhamira hushinda kheri.
Wachangiaji wengine watakuja na takwimi rasmi. Hapa nina mambo matatu ambayo ningependa kuchangiana na wengine. Moja, Je? tunapotaka kuendeleza elimu, Ujuzi au Ufundi na Taaluma, tunafikiri kuanzia na vyuo vilivyojitosheleza katika kila hali kwa hali yetu ya uchumi walionayo watu wetu?. Mbili, Hivi? Serikali inapokuwa inafanya ukaguzi inakuwa na lengo la kuboresha au kwenda kutafuta makosa ili ifungie uwekezaji wa watu wetu katika maeneo niliyotaja hapo.Tatu na mwisho, hawa watu wanaojitoa kuwekeza katika maeneo haya ya Elimu, Ujuzi au Ufundi na Taaluma kuna tahadhari yoyote tanazopasa kuwachukulia tofauti na uwekezaji mwingine?
Nadhani TCU siyo taasisi ya umaa iliyo huru. Inafanya kazi kwa mujibu wa maelekezo ya wana siasa. Nadhani kingeundwa chombo huru cha ukaguzi wa masuala ya Elimu kwa ajili ya kuweka viwango vinavyokubalika kitaifa na kimataifa, ingesaidia sana.
Ukijaribu kufanya observation ndogo tu ya baadhi ya vyuo vikuu maarufu vya umma kwenye products wanazoleta sokoni,hazina ubora unaokubalika kimataifa zaidi ya ubabaishaji mwingi na uharibifu wa mali nyingi za umma.
 
Muda nikafanya tafiti ndogo hapa mtaani kwangu. nikagundua mtaa una 'Bar' na 'Grocery' kumi na saba. ni eneo la mraba si zaidi ya 900. Huko Mbeya rafiki yangu mwingine alifanya tafiti ndogo akagundua kata moja ina kanisa 67. Watu wengine wanawekeza kwenye klabu za mpira fedha nyingi tu. Vile vile nishuhudia mtu anageuza seburi ya nyumba yake kuwa "Nursery School' na sasa anamiliki shule kubwa!!!.Dhamira hushinda kheri.
Wachangiaji wengine watakuja na takwimi rasmi. Hapa nina mambo matatu ambayo ningependa kuchangiana na wengine. Moja, Je? tunapotaka kuendeleza elimu, Ujuzi au Ufundi na Taaluma, tunafikiri kuanzia na vyuo vilivyojitosheleza katika kila hali kwa hali yetu ya uchumi walionayo watu wetu?. Mbili, Hivi? Serikali inapokuwa inafanya ukaguzi inakuwa na lengo la kuboresha au kwenda kutafuta makosa ili ifungie uwekezaji wa watu wetu katika maeneo niliyotaja hapo.Tatu na mwisho, hawa watu wanaojitoa kuwekeza katika maeneo haya ya Elimu, Ujuzi au Ufundi na Taaluma kuna tahadhari yoyote tanazopasa kuwachukulia tofauti na uwekezaji mwingine?
Nadhani TCU siyo taasisi ya umaa iliyo huru. Inafanya kazi kwa mujibu wa maelekezo ya wana siasa. Nadhani kingeundwa chombo huru cha ukaguzi wa masuala ya Elimu kwa ajili ya kuweka viwango vinavyokubalika kitaifa na kimataifa, ingesaidia sana.
Ukijaribu kufanya observation ndogo tu ya baadhi ya vyuo vikuu maarufu vya umma kwenye products wanazoleta sokoni,hazina ubora unaokubalika kimataifa zaidi ya ubabaishaji mwingi na uharibifu wa mali nyingi za umma.
 
Back
Top Bottom